Ajira Portal

Hiyo Namba 9 ni baba lao.
 
Kwa wajuzi tu naomba kufahamu tofauti ya Ajira portal na Oteas

Je, kama muombaji wa nafasi ya ualimu anahusika wapi zaidi kwenye Ajira portal or oteas ?






Ova..
Oteas Huko ni kwenye Ajira za walimu blaza hakuna interview huko kk huku utumishi tuachie sis tukaijaze dodoma

Ova
 
Tunaomba ufafanuzi hapo namba 4. Kuna C.V ya nje inahitajika ukiacha ile general iliyo kwenye profile!?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…