Ajira Portal

Mi nlishagive up na AJIRA PORTAL. Ishu iko hivi. Unajuwa namba nne za mwanzo za NIDA kwa kawaida huwa zinawakilisha mwaka wa kuzaliwa ila mimi kwangu kwenye ile namba mwaka wa kuzaliwa unaonekana ni mkubwa ( NIDA WALIKOSEA) sasa nikawafuata NIDA wakaniambia kuwa haiwezi kuleta shida kwenye kitambulisho cha taifa maana namba itabaki kuwa namba tu na kwenye miaka kutakuwa na miaka yangu halisi na hakutakuwa na tatizo lolote lile so hawakubadilisha. so nime give up na kuomba kazi ajira portal maana wao wameamua kuzitreat zile namba nne za mwanzo kama mwaka wangu wa kuzaliwa kwa hiyo kila kazi ninayoomba naambiwa kuwa umri umezidi sana (yaani mkubwa sana) so sijaqualify kwa hiyo kazi.
 
Bongo ndo nchi pekee ambayo mtu unasoma mpaka degree, unapewa na cheti lakn huitwi kwenye intavyuu kisa huna kitambulisho cha NIDA


Sent from my Vx V8
 
Hlo tatzo linarekebishika mzee nenda ulikochukulia hcho kitambulisho chako kawaeleze,,, weka uso mbuz usiende na mwonekano wa kiunyonge nyonge

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
sijachukua kitambulisho bado maana hakijatoka bado na nilishaenda wakaniambia hakuna tatizo lolote asee, maana hata katika infor zangu sikukosea kitu asee.
Hlo tatzo linarekebishika mzee nenda ulikochukulia hcho kitambulisho chako kawaeleze,,, weka uso mbuz usiende na mwonekano wa kiunyonge nyonge

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Hapo nenda tena nida tena waambie me Sina namba ya nida uanze kujisajiri upya maana haiwezekani wakukoseshe kazi 7bu ya mistakes zao alah..
Ni mawazo yangu lkn
 
pole mkuu... ungewapigia secretariat wenyewe kufafanua. Usi give up
 
@Labani og
 
Skizeni nyie, Utumishi wamesikia vilio vyenu, wale waliachwa kuitwa usailini kwa 7bu mbalimbali basi fahamuni mmeitwa huko mkajaze nyomi Mkeka mwingine wa wasailiwa TRA umetoka tena Kuna baadhi ya vitengo watu kama wote.. ingia tovuti husika ucheck jina lako kama ulikosa Mwanzo maana Kuna watu walishakata tamaa na hawataki kabisa kupitia accounts zao
 
Ukipandisha cheti original kuna ugumu gani utakuepo?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…