Kekule Wa Benzene Ring
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 277
- 1,178
Urgent anahitajika Mwalimu WA masomo ya Geography na History ngazi ya Shahada.
Shule IPO Mbeya Mjini. Mwalimu awe mahiri na mwenye uwezo wa kufundisha na kutoa Matokeo mazuri.
Mshahara ngazi ya serikali na Kuna marupurupu ya ziada.
Mawasiliano: 0655087675
Ni vizuri Mwalimu akiwa jirani na mkoa WA Mbeya ila kama unajiamini kuwa utapita kwenye interview unaweza omba hata ukiwa mkoa wowote Ule Tanzania Kwa gharama zako za maradhi na usafiri.
Shule IPO Mbeya Mjini. Mwalimu awe mahiri na mwenye uwezo wa kufundisha na kutoa Matokeo mazuri.
Mshahara ngazi ya serikali na Kuna marupurupu ya ziada.
Mawasiliano: 0655087675
Ni vizuri Mwalimu akiwa jirani na mkoa WA Mbeya ila kama unajiamini kuwa utapita kwenye interview unaweza omba hata ukiwa mkoa wowote Ule Tanzania Kwa gharama zako za maradhi na usafiri.