Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,958
- 55,051
Ajira mpaka 2025Kijana kamata fursa yoyote itakayokuja mbele yako, ukisubiri ajira ya serikali utazeekea nyumbani
Ajira mpaka 2025Kijana kamata fursa yoyote itakayokuja mbele yako, ukisubiri ajira ya serikali utazeekea nyumbani
Mbona seerikali imetangaza ajira nyingi sana, huzioni uombe?
Au unataka zile za bure za waalim na madaktari, ambazo watu wanaajiriwa kwa pamoja?
Yaani unaacha ajira mashirika binafsi kisa unasubiri ajira za serekalini ambazo hujui zinatoka lini, duuuh yaani huu ni upuuzi uliotukuka , haya endelea kusubiriMwezi Aug 2017 serikali ilitoa tangazo la ajira sekta ya afya na kuwataka walengwa watume maombi, lakini mpaka sasa hakuna tamko lolote juu ya hili. Hakuna kazi wala taarifa juu ya hili
Tuko mtaani tunashindwa kuchukua mikataba na mashirika binafsi sababu ya ajira za serikali..wao pia hawaeleweki ni lini wanatoa ajira,mtaa bila kazi ni ngumu sana
Ndg yang ahsanthe saana ,,maaana umenigusaaa nami,, Jana nimeshindwa kusain mkataba na shirika japo kua nliwadanganya kua sjaomba nafas serikalin, Ila walivyonambia maswala ya mkatba nikala kona ,make nltaka ka katempo tuu,lakn wao wanataka mfunge mkataba
Magufuli atoe ajira ili akose furaha. Yeye yuko busy na kina MANJI, TUNDU LISSU na MANGE KIMAMBIMbona seerikali imetangaza ajira nyingi sana, huzioni uombe?
Au unataka zile za bure za waalim na madaktari, ambazo watu wanaajiriwa kwa pamoja?
Mkuu niunganishe na Hilo shirika nipige mzigoNdg yang ahsanthe saana ,,maaana umenigusaaa nami,, Jana nimeshindwa kusain mkataba na shirika japo kua nliwadanganya kua sjaomba nafas serikalin, Ila walivyonambia maswala ya mkatba nikala kona ,make nltaka ka katempo tuu,lakn wao wanataka mfunge mkataba
Ivoo,,tuuu ngoja ntakupa contact zaoMkuu niunganishe na Hilo shirika nipige mzigo
Ww ndio msemaj wa serikal??Tunafanya finalization..soon tutawapangia kazi..muache kulalamika humu mitandaoni.
Usitake kujua sana..ila ndio hivyo.Ww ndio msemaj wa serikal??