Ajira mpya zitatoka lini?

Ndg yang ahsanthe saana ,,maaana umenigusaaa nami,, Jana nimeshindwa kusain mkataba na shirika japo kua nliwadanganya kua sjaomba nafas serikalin, Ila walivyonambia maswala ya mkatba nikala kona ,make nltaka ka katempo tuu,lakn wao wanataka mfunge mkataba
 
Mwezi Aug 2017 serikali ilitoa tangazo la ajira sekta ya afya na kuwataka walengwa watume maombi, lakini mpaka sasa hakuna tamko lolote juu ya hili. Hakuna kazi wala taarifa juu ya hili

Tuko mtaani tunashindwa kuchukua mikataba na mashirika binafsi sababu ya ajira za serikali..wao pia hawaeleweki ni lini wanatoa ajira,mtaa bila kazi ni ngumu sana
Yaani unaacha ajira mashirika binafsi kisa unasubiri ajira za serekalini ambazo hujui zinatoka lini, duuuh yaani huu ni upuuzi uliotukuka , haya endelea kusubiri
 
Ndg yang ahsanthe saana ,,maaana umenigusaaa nami,, Jana nimeshindwa kusain mkataba na shirika japo kua nliwadanganya kua sjaomba nafas serikalin, Ila walivyonambia maswala ya mkatba nikala kona ,make nltaka ka katempo tuu,lakn wao wanataka mfunge mkataba

Utaijutia hii nafasi muuguzi
 
Tunafanya finalization..soon tutawapangia kazi..muache kulalamika humu mitandaoni.
 
Ndg yang ahsanthe saana ,,maaana umenigusaaa nami,, Jana nimeshindwa kusain mkataba na shirika japo kua nliwadanganya kua sjaomba nafas serikalin, Ila walivyonambia maswala ya mkatba nikala kona ,make nltaka ka katempo tuu,lakn wao wanataka mfunge mkataba
Mkuu niunganishe na Hilo shirika nipige mzigo
 
Back
Top Bottom