Ajira mpya zitatoka lini?

Ajira mpya zitatoka lini?

Emmilian paul

Senior Member
Joined
Oct 17, 2015
Posts
141
Reaction score
63
Mwezi Aug 2017 serikali ilitoa tangazo la ajira sekta ya afya na kuwataka walengwa watume maombi, lakini mpaka sasa hakuna tamko lolote juu ya hili. Hakuna kazi wala taarifa juu ya hili

Tuko mtaani tunashindwa kuchukua mikataba na mashirika binafsi sababu ya ajira za serikali..wao pia hawaeleweki ni lini wanatoa ajira,mtaa bila kazi ni ngumu sana
 
Smh, sijui hata watatumia vigezo vipi kuajiri coz watu ni wengi nafasi zilikuwa chache mnoo......washasema kama hukuweka payingslip ya leseni za mwaka Jana ndo basii
 
Smh, sijui hata watatumia vigezo vipi kuajiri coz watu ni wengi nafasi zilikuwa chache mnoo......washasema kama hukuweka payingslip ya leseni za mwaka Jana ndo basii
Unamaanisha nn hapa?
 
Kuwa na subilia kwanza kwani mambo ya serikali hayataki haraka haraka.
 
Mbona seerikali imetangaza ajira nyingi sana, huzioni uombe?

Au unataka zile za bure za waalim na madaktari, ambazo watu wanaajiriwa kwa pamoja?
 
Mwezi Aug 2017 serikali ilitoa tangazo la ajira sekta ya afya na kuwataka walengwa watume maombi, lakini mpaka sasa hakuna tamko lolote juu ya hili. Hakuna kazi wala taarifa juu ya hili

Tuko mtaani tunashindwa kuchukua mikataba na mashirika binafsi sababu ya ajira za serikali..wao pia hawaeleweki ni lini wanatoa ajira,mtaa bila kazi ni ngumu sana
Mkuu lile lilikua changa la macho tu..hakuna pesa ya kuajiri..nenda kalime matikiti au saini hiyo mikataba ya mashirika binafs uendelee na maisha yako.
 
Mkuu lile lilikua changa la macho tu..hakuna pesa ya kuajiri..nenda kalime matikiti au saini hiyo mikataba ya mashirika binafs uendelee na maisha yako.
Umekula maharage ya wapi wewe ?

Hivi kwanini mkishapata kazi ya kufundisha huko Nanjilinji Secondary mnapenda kukatisha tamaa vijana wanaotafuta ajira ?

Ukiona huna unachojua uwe unakaa kimya tu.
 
Umekula maharage ya wapi wewe ?

Hivi kwanini mkishapata kazi ya kufundisha huko Nanjilinji Secondary mnapenda kukatisha tamaa vijana wanaotafuta ajira ?

Ukiona huna unachojua uwe unakaa kimya tu.
Hahaaa..mkuu naelewa kitaa kimekufanya udate ila ukweli ndio huo..ingawa ni mchungu uchukue hivyo hivyo..

Sasa we endelea kusubiri meli airport..pigeni kazi mpunguze makali ya maisha kuliko kusubiri serikali itoe ajira usawa huu mwingine..
 
Hahaaa..mkuu naelewa kitaa kimekufanya udate ila ukweli ndio huo..ingawa ni mchungu uchukue hivyo hivyo..

Sasa we endelea kusubiri meli airport..pigeni kazi mpunguze makali ya maisha kuliko kusubiri serikali itoe ajira usawa huu mwingine..

Pole sana.

Inashangaza sana kubeba stori za vijiweni na kuzileta huku halafu sio kila mtu hana kazi.

Tatizo lenu mkishapangiwa shule za kufundisha huko Mtondo Secondary na akili zenu huwa zinadumaa.

Badirika jombaa acha kukatisha tamaa vijana na kama huna taarifa sahihi piga kimya usilete stori za vilabuni humu.
 
Pole sana.

Inashangaza sana kubeba stori za vijiweni na kuzileta huku halafu sio kila mtu hana kazi.

Tatizo lenu mkishapangiwa shule za kufundisha huko Mtondo Secondary na akili zenu huwa zinadumaa.

Badirika jombaa acha kukatisha tamaa vijana na kama huna taarifa sahihi piga kimya usilete stori za vilabuni humu.
sawa..basi wewe mwenye info za maana wapatie vijana..kuliko kuja kupambana na comments zangu...nadhani haitosaidia chochote.
 
Back
Top Bottom