wana jf najitokeza kuuliza kwe yeyote mwenye taarifa ama tetesi za lini ajira za ualimu kwa ngazi zote zitatoka lini anijuze maana huku mtaani maisha yanakaba mpaka bhasi... ni hayo tu ndg zangun wana jf.
Kama ni sayans ucjal mwez april 2016 utapangiwa kituo chako cha kaz ila kama ni art umeumia tafata namna nyingne ya kuish usitegemee ajira serikalin walimu wanagawana topics kutokana na uwing wao.
Ajira ni mpaka mwakani na Hakuna ajira za direct kama miaka mingine wakuu wa Halmashauri zenu watatupa mapungufu ya wilaya then tutaajiri kwa kufuata mapendekezo yao ..kama umesoma science basi toa hofu Ndugu
Mimi nimerepeat course semester hii vipi nitaajiliwa?Au niandike nimeumia wakuu.