Majinzi Senior Member Joined Oct 28, 2018 Posts 147 Reaction score 203 Sep 11, 2020 #1 Tangia tar 7 serikali kupitia tamisemi ilitangaza rasmi kifungua dirisha la kutuma maombi ya ajira kada ya Ualimu. Lakini cha ajabu system yao imekuwa kizungumkuti, ukiingia inaload tu haifunguki Na hatapale unapoivizia usiku ikifungua kuna vipengele vinakuwa havifunguki. Je, hii changamoto tamisemi wanaijua au imewekwa na wao makusudi?
Tangia tar 7 serikali kupitia tamisemi ilitangaza rasmi kifungua dirisha la kutuma maombi ya ajira kada ya Ualimu. Lakini cha ajabu system yao imekuwa kizungumkuti, ukiingia inaload tu haifunguki Na hatapale unapoivizia usiku ikifungua kuna vipengele vinakuwa havifunguki. Je, hii changamoto tamisemi wanaijua au imewekwa na wao makusudi?
G Godfrey-K JF-Expert Member Joined Jan 5, 2016 Posts 1,925 Reaction score 3,672 Sep 11, 2020 #2 Hii ni siasa, serikali inacheza mziki wa lissu, hawana uwezo wa kuajiri kwa sasa, wanachofanya ni maigizo tu (comedy).
Hii ni siasa, serikali inacheza mziki wa lissu, hawana uwezo wa kuajiri kwa sasa, wanachofanya ni maigizo tu (comedy).
Kamkuki JF-Expert Member Joined Feb 1, 2011 Posts 1,956 Reaction score 1,428 Sep 11, 2020 #3 Mkuu hiyo ni "makusudically" na wala sio bahati mbaya
S Soulja boy JF-Expert Member Joined Oct 3, 2015 Posts 4,614 Reaction score 8,055 Sep 11, 2020 #4 Wanafanya uhuni had usku inagoma kura ikishapigwa haitafunguka kabisa.
sengobad JF-Expert Member Joined Aug 13, 2017 Posts 9,237 Reaction score 8,992 Sep 11, 2020 #5 Hakuna ajira huko, yaani hii ni sawa na tangazo la ajira litolewe siku ya wajinga duniani
Majinzi Senior Member Joined Oct 28, 2018 Posts 147 Reaction score 203 Sep 11, 2020 Thread starter #6 Kamkuki said: Mkuu hiyo ni "makusudically" na wala sio bahati mbaya Click to expand... Duu huu mchezo wanaoucheza sio poa yaani nimekesha lakini wapi Ikifungua inaleta mizengwe mingne mara details hazionekani shida tupu
Kamkuki said: Mkuu hiyo ni "makusudically" na wala sio bahati mbaya Click to expand... Duu huu mchezo wanaoucheza sio poa yaani nimekesha lakini wapi Ikifungua inaleta mizengwe mingne mara details hazionekani shida tupu
Majinzi Senior Member Joined Oct 28, 2018 Posts 147 Reaction score 203 Sep 11, 2020 Thread starter #7 Hapo imefunguka lakini particulars haizonekani
DCI Comrade One JF-Expert Member Joined Oct 14, 2012 Posts 781 Reaction score 1,035 Sep 11, 2020 #8 Yaani bado watu mna nia na huo uteacher?..acheni kafanye issue zingine Kunicha n'tuvengee,Likaswa n'tulowe
Yaani bado watu mna nia na huo uteacher?..acheni kafanye issue zingine Kunicha n'tuvengee,Likaswa n'tulowe
Kizibo JF-Expert Member Joined Jul 3, 2018 Posts 4,552 Reaction score 10,314 Sep 11, 2020 #9 Wale graduates wenzangu tusiokuwa na muda na huo upuuz tujuane..tunao-hustle kivyetu vyetu
N ngebe JF-Expert Member Joined Jun 8, 2020 Posts 1,786 Reaction score 5,119 Sep 11, 2020 #10 CCM inatumia ujinga wa watanzania ku exist
mcrounmj JF-Expert Member Joined Feb 26, 2016 Posts 379 Reaction score 891 Sep 11, 2020 #11 Kizibo said: Wale graduates wenzangu tusiokuwa na muda na huo upuuz tujuane..tunao-hustle kivyetu vyetu Click to expand... Mkuu niko pamoja na Wewe, siutaki tena huo upuuzi, niliomba mara tatu bila mafanikio, nikaamua ku-hustle kivyangu. Sitaki tena kuwa mwalimu.
Kizibo said: Wale graduates wenzangu tusiokuwa na muda na huo upuuz tujuane..tunao-hustle kivyetu vyetu Click to expand... Mkuu niko pamoja na Wewe, siutaki tena huo upuuzi, niliomba mara tatu bila mafanikio, nikaamua ku-hustle kivyangu. Sitaki tena kuwa mwalimu.
Kizibo JF-Expert Member Joined Jul 3, 2018 Posts 4,552 Reaction score 10,314 Sep 11, 2020 #12 mcrounmj said: Mkuu niko pamoja na Wewe, siutaki tena huo upuuzi, niliomba mara tatu bila mafanikio, nikaamua ku-hustle kivyangu. Sitaki tena kuwa mwalimu. Click to expand... Pamoja mkuu, mm sijawahi kuapply wala sijawahi kuwazia kuapply. Na sitegemei kuapply. Pumbavu!!!
mcrounmj said: Mkuu niko pamoja na Wewe, siutaki tena huo upuuzi, niliomba mara tatu bila mafanikio, nikaamua ku-hustle kivyangu. Sitaki tena kuwa mwalimu. Click to expand... Pamoja mkuu, mm sijawahi kuapply wala sijawahi kuwazia kuapply. Na sitegemei kuapply. Pumbavu!!!
Misako JF-Expert Member Joined Jul 15, 2020 Posts 1,143 Reaction score 1,404 Sep 11, 2020 #13 Hizi ajira zinatesa watu mitaani, internet cafe zimejaa na watu wanalalamika mtandao..hata Kama una issue nyingine za kufanya hayo maeneo inakuwa Kero.
Hizi ajira zinatesa watu mitaani, internet cafe zimejaa na watu wanalalamika mtandao..hata Kama una issue nyingine za kufanya hayo maeneo inakuwa Kero.