Ajira mpya, Graduate wapya hawana nafasi?

Ajira mpya, Graduate wapya hawana nafasi?

Persie

Senior Member
Joined
May 2, 2012
Posts
188
Reaction score
15
Hivi ni kwel kuna ajira mpya zinatangazwa au soko la ajira limeshajaa sasa kinachofanyika ni kubadilishana wafanyakazi maana kila kazi experience at least 3 years sasa swali ni je hawa fresh graduate ambao kila mwaka wanaongezeka ndio hawana nafasi au? Nini kifanyike?
 
Zipo baadhi ya ajira serikalini ambazo hazihitaji experience,

Tembelea www.ajira.go.tz kwa utafutaji wa ajira ktk utumishi wa Umma,
 
kuna hoja binafsi itawasilishwa na mbunge Zainabu Katimba kuhusu maswala ya experience......wait tuone wataamua nn!
 
Kiu Ukweli mimi nina Ofisi yangu ambayo nahitaji mtu anipokee nimlipe mshahara mnono siwezi kuajiri mtu ambaye hana Experience mty ambaye hata Cheque inamshinda kuandika waoneeni huruma Waajiri wenu njia rahisi ya Graduate kupata Experience ni Kufanya kazi bure.
 
Back
Top Bottom