Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,086
- 16,060
Acha utapeli wew...Ukipata VISA na Ukasaini Mkataba ndio unatoa 20% ya huo mkataba wako. Hapo shida iko wapi ndugu?
Acha utapeli wew...Ukipata VISA na Ukasaini Mkataba ndio unatoa 20% ya huo mkataba wako. Hapo shida iko wapi ndugu?
Shida ni kua mtatoa Mkataba feki ili mlambe hiyo 20%Ukipata VISA na Ukasaini Mkataba ndio unatoa 20% ya huo mkataba wako. Hapo shida iko wapi ndugu?
HusithubutuNawaonya HUSITHUBUTU,narudia HUSITHUBUTU,nasisitiza HUSITHUBUTU,nakazia HUSITHUBUTU kwenda huko bila kuunganishwa na mtu unayemjua wewe mwenyewe
Jpili njema ila msisahu ilo neno lenya herufi kubwa.
uoga ndio tatizo linalotusumbua vijana wengi Tanzania, hatuna roho ya uthubutu, hatuna roho ya kujilipua kwenye kutafuta mafanikio,Msiingie kichwakichwa hapa mtapigwa mshindwe kujua pakuanzia
Uoga mmeutengeneza wenyewe kwa kuwatapeli watu fedha zao kwa ahadi za kazi kama hizi.uoga ndio tatizo linalotusumbua vijana wengi Tanzania, hatuna roho ya uthubutu, hatuna roho ya kujilipua kwenye kutafuta mafanikio,
Tunabaki tunalalamika vijana wakichina kuuza yeboyebo na ndala kariakoo wakati sisi tunaogopa kuthubutu kwenye nchi zingine,
tumezungukwa na habari za kizamani kabisa sijui ukienda uarabuni watakunanilii, Kama hiyo ni michezo yako ata ukibaki Tanzania watakunanilii tu.
Mfano vijana wa kichina nchi yao Ina kila kitu, miji mikubwa iliyoendelea lakini wanakuja kutafuta mafanikio nchi Kama Tanzania Tena kuuza ndala.
Wabongo bado sana.
Ushauri ili msionekane matapeli kwanini badala ya kuomba commission kwa mtafutaji wa kazi msiombe commission kwa mwajiri, yaani sio mwajiriwa bali mwajiri..)1. Uwe na pass ya kusafiria
2. Utalipia gharama ya 20% ya mshahara wako kwa wakala wa ajira baada ya VISA na MKATABA WA KAZI kutoka kabla ya kusafiri.
Karibu.
Hao wachina unaowasema hawakuja na madalali wa kihuni kama hawa.uoga ndio tatizo linalotusumbua vijana wengi Tanzania, hatuna roho ya uthubutu, hatuna roho ya kujilipua kwenye kutafuta mafanikio,
Tunabaki tunalalamika vijana wakichina kuuza yeboyebo na ndala kariakoo wakati sisi tunaogopa kuthubutu kwenye nchi zingine,
tumezungukwa na habari za kizamani kabisa sijui ukienda uarabuni watakunanilii, Kama hiyo ni michezo yako ata ukibaki Tanzania watakunanilii tu.
Mfano vijana wa kichina nchi yao Ina kila kitu, miji mikubwa iliyoendelea lakini wanakuja kutafuta mafanikio nchi Kama Tanzania Tena kuuza ndala.
Wabongo bado sana.