AJIRA Kama una sifa

AJIRA Kama una sifa

Joined
Feb 7, 2012
Posts
89
Reaction score
24
Wanahitajika wafanyakazi wafuatao;

1:Msichana wa kazi za ndani
SIFA :Awe na nidhamu,tabia njema.
Awe mwaminifu.


2😀ereva kwa ajili ya kuendesha gari la ofisi landcruser.

SIFA.: asizidi miaka 45.
Awe mwanaume.
Awe mwaminifu.
Awe na uzoefu usiopungua 5 years na awe na lesseni.


3😛S...
Sifa.: awe msichana kuanzia miaka 16 mpaka 35.
Awe na ujuzi wa computer
awe na uzoefu wa 5 years


Kama uko interested tuma sms kwenda 0762445607..

N:B_ USIPIGE SIMU TUMA SMS TU.


Deadline;
JANUARY 25 ,2013 saa kumi jioni..
Asanteni
 
Hana lolote huyu kaja kutafta mademu humu kweri we mburula
 
Wanahitajika wafanyakazi wafuatao;

1:Msichana wa kazi za ndani
SIFA :Awe na nidhamu,tabia njema.
Awe mwaminifu.


2😀ereva kwa ajili ya kuendesha gari la ofisi landcruser.

SIFA.: asizidi miaka 45.
Awe mwanaume.
Awe mwaminifu.
Awe na uzoefu usiopungua 5 years na awe na lesseni.


3😛S...
Sifa.: awe msichana kuanzia miaka 16 mpaka 35.
Awe na ujuzi wa computer
awe na uzoefu wa 5 years


Kama uko interested tuma sms kwenda 0762445607..

N:B_ USIPIGE SIMU TUMA SMS TU.


Deadline;
JANUARY 25 ,2013 saa kumi jioni..
Asanteni

Unapata wapi uhalali wa kumuajiri binti wa miaka 16, wewe ni FATAKI. period
 
Miaka 16?kwa Serikali ipi?na wanaotetea watoto wanakuangalia2 tena Toa tangazo lako hapo
 
Bint wa miaka 16 kapata wap experience ya miaka 5 km c wiz n nn fataki wee
 
Unatafuta house girl mwaminifu ili uweunam-bandua afu asiwe hasemi kwa mkeo.
 
kutokana na coment hz nimeshndwa kuelewa niombe kaz au ?kwahyo hli ni tangazo la kimagumash sio?wapi mods waliondoe lipunguzie seva uzito
 
Huu ushamba wa mtandao unadanganya leo kesho utadanganywa ww mwenyewe. Utani watu wanashida kweli au utukanwe then ureport.
 
we jamaa akili yako ina akili kweli. jipange kisha njoo kivingine labda utapata 16yrs.
 
Mliotupia humu nawapongeza mijitu mingine hovyo wengine wapo sirious yenyewe inaingiza utapeli. Kuna mingine yenye namba 0654991391 website tanzania-job-link-webnode.com nayo ni mitapeli. Juzi karibia niikamate ikaingia mitini. Shenz type zao!
 
Back
Top Bottom