Mmmh hapo kidogo kutakua na shida mkuu mana kuna batan hapo kuonekana huwa zinasumbua...
Pia kwa simu inakuaga na shida kiasi tofauti na pc ni 15 dakika unakua ushanaliza ety..
Solution hapo fanya ufanyie kwa pc au kama pc changamoto basi nikufanyie mana nahisi usamhamaliz kila kitu ni vtu vichache tu