Halafu huyu mjamaa ni CHADEMA, pata picha uchaguzi mwakani utakuwaje?
Jinsia ipi?,nasikia anataka rubani wa kike,harafu awe na kishuzi cha haja....Msaada wadau...mdogo wangu aweza paisha angani hiyo makitu,hajapata ajira rasmi..Naomba connection na mtumishi huyu
Msaada wadau...mdogo wangu aweza paisha angani hiyo makitu,hajapata ajira rasmi..Naomba connection na mtumishi huyu
Jinsi ipi?,nasikia anataka rubani wa kike,harafu awe ni kishuzi cha haja....
waislam tunawaachia chama lenu
msaada wadau...mdogo wangu aweza paisha angani hiyo makitu,hajapata ajira rasmi..naomba connection na mtumishi huyu
atamuajiri frola mbasha awe rubani
sent from my blackberry 9360 using jamiiforums