Ajira ajira ajira serikalini!

Ajira ajira ajira serikalini!

mahundi jimi

Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
21
Reaction score
4
Hivi jamani inakuwaje baadhi ya ajira serikalini zinakuwa na mlolongo mrefu sana mpaka watu kuanza kazi, maana kuitwa kwenye interview nia zaidi ya miezi sita tangu nafasi zinapotangazwa,sasa kuitwa kazini itakuwaje....mfano mzuri ni hawa jamaa wa secretariet ya ajira na tangazo la kiswahili au tra....wanatakiwa wajue kuwa kuna watu tuko mtaani huku tuna wasubiri haaaaa...
 
ndo nchi yetu hiyo ndugu, mi nko mkoani na nilishawah kuapply kaz za utumishi mara kibao za ngaz ya asst. accountant katika wilaya ninayoishi but had leo utumishi hawajaita bt cha kushangaza watu washaajiriwa pale wilayani kwa contract na wanapiga kaz kama kawa,- ss watoto wa makapuku tunasubili intervw!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
 
Back
Top Bottom