Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ni ajira 350 au ajira 700?Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka?
yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
kuna tatizo mahala?
wabongo hatuna jema sie mmetaka ajira mmeletewa mnalalamika tena.Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka?
yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
kuna tatizo mahala?
wabongo hatuna jema sie mmetaka ajira mmeletewa mnalalamika tena.
Mara ya mwisho magereza wameajiri lini?? Ni wangapi wamekufa, kufukuzwa, kubadilisha kazi au kustaafu katika kipindi chote hicho? Siyo kila jambo ni kupinga au kutengeneza negative theoriesSwali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka?
yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
kuna tatizo mahala?
Na sisi uhamiaji tunatoa ajiraSwali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka?
yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
kuna tatizo mahala?
Ziko wapi tuombe!Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka? Yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
kuna tatizo mahala?
Kwa huu uandishi wako wa "kwerii kwerii" halafu unaita watu ni wajinga, ni wazi vidole vyako vitatu viko sahihi,,,,, kama umenielewa lakini.Hakikisha una division four ya 28-32.
Taifa la wajinga kwerii kwerii. Kufeli sasa imekuwa ni sifa ya kupata ajira.
Kwerii kwerii, hii lugha alinifundisha marehemu mwendazake, shujaa wa Afrika...nimekuwea rii mwishoni ili ujue sijaandika kwa bahati mbaya.Kwa huu uandishi wako wa "kwerii kwerii" halafu unaita watu ni wajinga, ni wazi vidole vyako vitatu viko sahihi,,,,, kama umenielewa lakini.
Du!Kwerii kwerii, hii lugha alinifundisha marehemu mwendazake, shujaa wa Afrika...nimekuwea rii mwishoni ili ujue sijaandika kwa bahati mbaya.
Sawa msomi???
Unajua tofauti ya kulalamika na kuhojiwabongo hatuna jema sie mmetaka ajira mmeletewa mnalalamika tena.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sure broHakikisha una division four ya 28-32.
Taifa la wajinga kwerii kwerii. Kufeli sasa imekuwa ni sifa ya kupata ajira.