Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka? Yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka?
yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka?
yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka?
yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
Mara ya mwisho magereza wameajiri lini?? Ni wangapi wamekufa, kufukuzwa, kubadilisha kazi au kustaafu katika kipindi chote hicho? Siyo kila jambo ni kupinga au kutengeneza negative theories
Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka?
yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
Magereza wana kipindi kirefu kimepita hawajaajiri, Askari wamehama, wamstaafu, wamefariki....
Magereza sasa wanatakiwa kujihudumia wenyewe na sio kupeleka mzigo serikali kuu. Ndo maana umeona idadi hio tena watu wenye ujuzi na taaluma mbalimbali. Mama na wizara ya ndani hapa wameupiga mwingi kiasi Fulani
Swali langu ni kuwa wahalifu wameongezeka? Yaani magereza wametanganza ajira nyingi kuliko hata tume ya ajira.. ile tume ya ajira kila kukicha wanatangaza kazi za mtendaji wa kijiji..
Kwerii kwerii, hii lugha alinifundisha marehemu mwendazake, shujaa wa Afrika...nimekuwea rii mwishoni ili ujue sijaandika kwa bahati mbaya.
Sawa msomi???
Kwerii kwerii, hii lugha alinifundisha marehemu mwendazake, shujaa wa Afrika...nimekuwea rii mwishoni ili ujue sijaandika kwa bahati mbaya.
Sawa msomi???
Miaka ya 90 na 2000. Hakuna alitaka kwenda magereza kirahisi siku hizi ugumu upo kukataa kwenda kazi ya magereza.
Magereza wana ajili kwa kulinga wala hawakulazimishi.
Vijana wana hali ngumu sana hawana option kila kilichopo mbele yao ni halali yao.