Ajira 13000 za walimu zimeishia wapi?

Ajira 13000 za walimu zimeishia wapi?

Unayejiita Rukuku wewe una mental disturbance.Ukapimwe afya na nguvu ya ubongo wako Were unawakashfu watanzania wenzio kwa kuikosoa serikali juu ya kauli zake za uongo halafu ww unajifanya wa kujua zaidi.Nenda zako mwankikopo wewe.
Usilopoke tuu hayoapo majina kama hamo kazi kwako
 
Eco, geo, commarce, bookeeping, math, phy ndo habari ya mjini... Kama umesoma history unaenda kumsimulia bib kijijin...
 
Back
Top Bottom