Ajira 13000 za walimu zimeishia wapi?

Ajira 13000 za walimu zimeishia wapi?

Chifyono

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
921
Reaction score
1,663
Hii serikali ya awamu ya 5 inatatizo gani na hizi ajira za walimu?
Mwezi ulioisha waziri Jafo aliibuka na kusema kwamba kufika january 2018 serikali itaajiri walimu 1300 ili kufidia upungufu wa walimu uliopo hapa nchini lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyote inayopitiwa na serikali hii kuelekea ajira hizi kufanyika january


Itakumbukwa serikali hii imeleta mfumo mpya, kwanza lazima watoe namna na nafasi ya kutuma barua na vyeti wakavifanyie uhakiki kwanza ndio watoe ajira, mpaka sasa hii hatua ya awali kuelekea ajira 1300 kuanzia januari siuoni zaidi ni wale walimu wa primary 2000 na shahada 92

Walimu tumechoshwa na siasa za kuropoka pasi na utekelezwaji!
Tupangieni vituo vya kazi mtatuhakiki tukiwa kazini!
 
Mwalimu umechoka kwa mujibu wa mdomo wako, Utaweza kufundisha kweli wewe
 
unalazimisha serikali ikuajiri Kama wewe ni mwalimu wa sayansi subiri April mwakani Kama wewe ni wa sanaa huna chako
 
Hii serikali ya awamu ya 5 inatatizo gani na hizi ajira za walimu?
Mwezi ulioisha waziri Jafo aliibuka na kusema kwamba kufika january 2018 serikali itaajiri walimu 1300 ili kufidia upungufu wa walimu uliopo hapa nchini lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyote inayopitiwa na serikali hii kuelekea ajira hizi kufanyika january


Itakumbukwa serikali hii imeleta mfumo mpya, kwanza lazima watoe namna na nafasi ya kutuma barua na vyeti wakavifanyie uhakiki kwanza ndio watoe ajira, mpaka sasa hii hatua ya awali kuelekea ajira 1300 kuanzia januari siuoni zaidi ni wale walimu wa primary 2000 na shahada 92

Walimu tumechoshwa na siasa za kuropoka pasi na utekelezwaji!
Tupangieni vituo vya kazi mtatuhakiki tukiwa kazini!
Maendeleo ya midimoni haya
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wamekomba pesa hazina kwenda kufanyia mkutano wao uchwara wa chama cha wahuni.

Hii serikali ya awamu ya 5 inatatizo gani na hizi ajira za walimu?
Mwezi ulioisha waziri Jafo aliibuka na kusema kwamba kufika january 2018 serikali itaajiri walimu 1300 ili kufidia upungufu wa walimu uliopo hapa nchini lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyote inayopitiwa na serikali hii kuelekea ajira hizi kufanyika january


Itakumbukwa serikali hii imeleta mfumo mpya, kwanza lazima watoe namna na nafasi ya kutuma barua na vyeti wakavifanyie uhakiki kwanza ndio watoe ajira, mpaka sasa hii hatua ya awali kuelekea ajira 1300 kuanzia januari siuoni zaidi ni wale walimu wa primary 2000 na shahada 92

Walimu tumechoshwa na siasa za kuropoka pasi na utekelezwaji!
Tupangieni vituo vya kazi mtatuhakiki tukiwa kazini!
 
Hivi bado kunawatu mnaiamini na kuisubiri serikali hii ifanye jambo kuhusu ajira!?

Kuifupi, walimu wanahitajika sana ila serikali haina pesa.
 
Serikali imeshasema wasio na ajira wamepungua........kwaiyo hizo ajira zikitolewa nan at a apply. Au unataka itumie gharama kutangaza ajira alafu watu wasitokee.....bora hizo hela tuendelee kufanyia manunuzi ya wanaunga Mkono juhudi za mkuu...
 
Majina wameshatoa... Walimu mtaripot tarehe 27 mwezi huuu... Walimu kazi kwenuuu hongereniiii.... Baada ya msoto mkali mtaani.... Wengine tulikuwa tumeshaanza kubeba zegeee
 
Unayejiita Rukuku wewe una mental disturbance.Ukapimwe afya na nguvu ya ubongo wako Were unawakashfu watanzania wenzio kwa kuikosoa serikali juu ya kauli zake za uongo halafu ww unajifanya wa kujua zaidi.Nenda zako mwankikopo wewe.
 
Back
Top Bottom