Ajidai muhudumu wa basi na kuibia abiria

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
948
Reaction score
3,316
Your browser is not able to display this video.

Wezi kila siku wanabuni mbinu pya ili kutimiza nia zao ovu, huyo kwenye video alijidai mfanyakazi wa basi la Abood na kudai tiketi kisha iliyokuwa kwenye simu akajifanya anaenda kukagua akaondoka na simu
 
Dereva na mhudumu halisi walikuwa wapi?
Huduma kwa wateja nchi hii ni tatizo
Mhudumu halisi anatakiwa kuwepo muda wote abiria wanapokuwa kwenye basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…