Ajenda za Upinzani Katika Uchaguzi Huu Mdogo ni Zipi?

ChamaDola

JF-Expert Member
Dec 23, 2016
3,432
2,804
Ndugu zangu wa upande wa pili,kampeni zishaanza na sie uku tuna mengi ya kuuza kwa umma ili watupe tena hizi kata 22 na lile jimbo moja kule Zenji!
Nyie mna nini?
 
Ndugu zangu wa upande wa pili,kampeni zishaanza na sie uku tuna mengi ya kuuza kwa umma ili watupe tena hizi kata 22 na lile jimbo moja kule Zenji!
Nyie mna nini?

Mngekuwa na ajenda mngetumia jeshi na tume kuhakikisha mnashinda? Wapinzani kuingia kushiriki uchaguzi kwa tume hii ni kupoteza mda kwani hapo hakuna ushindani bali ni kudanganya wazungu kwamba kuna demokrasia nchini.
 
Mngekuwa na ajenda mngetumia jeshi na tume kuhakikisha mnashinda? Wapinzani kuingia kushiriki uchaguzi kwa tume hii ni kupoteza mda kwani hapo hakuna ushindani bali ni kudanganya wazungu kwamba kuna demokrasia nchini.
mkuu,kwahiyo hizo ndio ajenda zenu kwa watz?
 
tumeanza na hilo,na mengine yatafuata

kwa ujumla nyie hamkubaliki ndio maana siasa za ushindani hamuziwezi. Hapo kinachofanyika ni kufuja pesa za umma ili kuuhadaa ulimwengu kuwa kuna demokrasia. Kwa maoni yangu upinzani ni bora wakaanza mashinikizi ya tume huru kwa kususia hizi chaguzi uchwara mlizopanga matokea kwa hiyo tume inayochaguliwa na mtu asiyeweza siasa za ushindani.
 
kwa ujumla nyie hamkubaliki ndio maana siasa za ushindani hamuziwezi. Hapo kinachofanyika ni kufuja pesa za umma ili kuuhadaa ulimwengu kuwa kuna demokrasia. Kwa maoni yangu upinzani ni bora wakaanza mashinikizi ya tume huru kwa kususia hizi chaguzi uchwara mlizopanga matokea kwa hiyo tume inayochaguliwa na mtu asiyeweza siasa za ushindani.
waambie waige wenzao wa kongo na kenya
 
waambie waige wenzao wa kongo na kenya

Mkuu kumbuka hapa sio kisiwa, hilo haliko mbali. Muombe tu hilo lifanyike kwa amani, kwa jinsi ninavyojua siasa za kiafrika zilivyo pindi mkitoka madarakani mjiandae kwa kulipiziana.visasi vya kipuuzi kwa ulevi wa madaraka.
 
Back
Top Bottom