Ajari za moto za zidi kuteketeza mali Dar

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
Baada ya ajari ya TBL, meli ya Bahresa, Nasikia kuna ajari ya moto imeteketeza nyumba zipatazo nne na ofisi ya Tarafa..Mwenye habari atumwangie..
 
Natumaini umesikiliza taarifa ya habari jana jioni kuwa ni kweli zimeungua nyumba nne maeneo ya kunduchi.
 
Baada ya ajari ya TBL, meli ya Bahresa, Nasikia kuna ajari ya moto imeteketeza nyumba zipatazo nne na ofisi ya Tarafa..Mwenye habari atumwangie..

Sijaelewa haswa unachokihitaji...Unataka umwagiwe habari kivipi?Habari nyingine kuhusu moto unavyoteketeza mali za Dar au unamaanisha nini?
 
Back
Top Bottom