Crashwise JF-Expert Member Oct 23, 2007 22,227 8,735 Aug 4, 2009 #1 Baada ya ajari ya TBL, meli ya Bahresa, Nasikia kuna ajari ya moto imeteketeza nyumba zipatazo nne na ofisi ya Tarafa..Mwenye habari atumwangie..
Baada ya ajari ya TBL, meli ya Bahresa, Nasikia kuna ajari ya moto imeteketeza nyumba zipatazo nne na ofisi ya Tarafa..Mwenye habari atumwangie..
Mateso JF-Expert Member Aug 6, 2008 259 19 Aug 5, 2009 #2 Natumaini umesikiliza taarifa ya habari jana jioni kuwa ni kweli zimeungua nyumba nne maeneo ya kunduchi.
Natumaini umesikiliza taarifa ya habari jana jioni kuwa ni kweli zimeungua nyumba nne maeneo ya kunduchi.
Wa mmoja Member Aug 4, 2009 99 0 Aug 5, 2009 #3 Crashwise said: Baada ya ajari ya TBL, meli ya Bahresa, Nasikia kuna ajari ya moto imeteketeza nyumba zipatazo nne na ofisi ya Tarafa..Mwenye habari atumwangie.. Click to expand... Sijaelewa haswa unachokihitaji...Unataka umwagiwe habari kivipi?Habari nyingine kuhusu moto unavyoteketeza mali za Dar au unamaanisha nini?
Crashwise said: Baada ya ajari ya TBL, meli ya Bahresa, Nasikia kuna ajari ya moto imeteketeza nyumba zipatazo nne na ofisi ya Tarafa..Mwenye habari atumwangie.. Click to expand... Sijaelewa haswa unachokihitaji...Unataka umwagiwe habari kivipi?Habari nyingine kuhusu moto unavyoteketeza mali za Dar au unamaanisha nini?