Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,267 4,715 Oct 13, 2012 #1 Kuna magari mawili: lori la mafuta na la mizigo, yamegongana uso kwa uso na yanawaka moto, barabara imefungwa na kuna foleni ndefu pande zote mbili
Kuna magari mawili: lori la mafuta na la mizigo, yamegongana uso kwa uso na yanawaka moto, barabara imefungwa na kuna foleni ndefu pande zote mbili
P PhD JF-Expert Member Jul 15, 2009 4,599 3,671 Oct 13, 2012 #2 Ingekuwa ni gari la chagonja, shilogile au kamuhanda ningekupa like na glass of wine , Hawa jamaa siwapendi kweli kweli
Ingekuwa ni gari la chagonja, shilogile au kamuhanda ningekupa like na glass of wine , Hawa jamaa siwapendi kweli kweli