Ajari mbaya eneo la Lugalo, Dar es Salaam

Ajari mbaya eneo la Lugalo, Dar es Salaam

Mkuuu hii huduma yako ni ya bure ama ni malipo.....na ninani anahusika nabutoaji wa huduma hii...mana naona kama inazingua
Ina malipo garama yake nia kam sh 200 kama sijakosea chief!
 
Poleni sana ndg wa mhanga wa ajali.
Mamlaka husika zitumie hiyo namba kumtambua mhusika wa ajali hiyo.
 
Wahusika hatuitaji mrejesho ila tunachohitaji sheria ifuate mkondo namba ya gari imeshatolewa, kazi kwenu.
Maana hao wenye Subaru huwa wanaendesha utafikiri wapo kwenye mashindano.
 
Back
Top Bottom