Kodi zetu hizo. Hawana huruma, wanawapita wanafunzi wakitaabika vituoni kama vile wanawapita nguchiro.
Wakiwabeba wanafunzi ajali hazitatokea? Nadhani tuwalaumu kwa kutokuwa makini na matumizi mabaya!
Ni muhimu kulaani ufisadi pia.ni muhimu kuwapa pole na kuwatakia uponaji wa haraka majeruhi
ni muhimu kuwapa pole na kuwatakia uponaji wa haraka majeruhi