Heshima kwenu wakuu,
Naomba msaada wenu niweze kupata kazi maana nilipata ajali ya bodaboda nikiwa narudi nyumbani.
Nilishindwa kuendelea na kazi, nilikaa nyumbani muda wa wiki mbili.
Baada ya kupata unafuu nilimtafuta boss wangu lakini nilijibiwa kuwa tayari kuna mtu mwingine hivyo naomba msaada wenu wa kazi yoyote ile iliyopo wakuu.
Kwa umri wangu mimi ni miaka 26, elimu yangu ni form four. Nilihitimu mwaka 2012, naishi mkoa wa Mbeya.
Nina uzoefu katika kazi mbalimbali ikiwa ni pamoja na:
1. Kazi ya jikoni
Nimefanya hii kazi kwa mda mrefu hvyo naweza kuimudu vizuri. Kwa upishi wa vyakula mbalimbali pamoja na kukaanga chips mayai,kuchoma nyama n.k.
2. Kazi ya sales
Nimefanya hii kazi kwa vitengo viwili,
A.sales man/freelancer.
Nilikuwa katika mtandao wa simu wa MICTLTD unajulikana kwa jina la Tigo, hapa nilikuwa nasambaza laini, vocha, simu na moderm za internet.
Pia nilifanya settings katika simu zote za smartphone kwa wenye matatizo ya internet kwa sim zao.
B. Team Leader
Hapa nilifanya kazi katika mtandao wa halotel nikiwa kiongozi wa timu ya mauzo. Pia hapa nilihusika kutoa mafunzo kwa timu yangu ya mauzo ili wajue hatua na kanuni za mauzo kuwafanya wasikate tamaa wanapokuwa hawajapata wateja na kuwakumbusha kuwa mauzo ni dakika zote 600 kama ilivyo mpira dakika 90. Pia kuwa na lugha nzuri kwa wateja.
3.Mahesabu
Hapa nilifanya kazi katika maduka ya jumla ya vinywaji pamoja na yale ya vitu vya nyumbani katika kazi ya kupanua wigo wa biashara idara ya usambazaji pamoja na kufunga hesabu ya bidhaa kila jioni baada ya mauzo ili kujua kiasi cha pesa kilichotumika na kiasi kinachotakiwa kubaki (Cash in hand).
4. Lodge
Hapa nilifanya kazi kama mtu wa mapokezi kwa muda wa miezi 6 ambapo baadaye boss wangu alinipandisha na kuwa msimamizi/Manager wa ofisi yake ambayo pia ilikuwa na Restaurant na baa.
Naomba msaada wenu wakubwa, mbali na hizo kazi nilizo zitaja hapo nnao uwezo wa kufanya kazi yoyote ile ambayo ntapewa maelekezo kidogo na kuweza kuendelea mwenyewe kulingana na maelezo niliyopewa.
Sehemu yoyote naweza fika pia kuhusu swala la nauli ntahangaikia mwenyewe.
Kwa mawasiliano yangu ni 0712312205.
Asanteni wakuu.
Naomba msaada wenu niweze kupata kazi maana nilipata ajali ya bodaboda nikiwa narudi nyumbani.
Nilishindwa kuendelea na kazi, nilikaa nyumbani muda wa wiki mbili.
Baada ya kupata unafuu nilimtafuta boss wangu lakini nilijibiwa kuwa tayari kuna mtu mwingine hivyo naomba msaada wenu wa kazi yoyote ile iliyopo wakuu.
Kwa umri wangu mimi ni miaka 26, elimu yangu ni form four. Nilihitimu mwaka 2012, naishi mkoa wa Mbeya.
Nina uzoefu katika kazi mbalimbali ikiwa ni pamoja na:
1. Kazi ya jikoni
Nimefanya hii kazi kwa mda mrefu hvyo naweza kuimudu vizuri. Kwa upishi wa vyakula mbalimbali pamoja na kukaanga chips mayai,kuchoma nyama n.k.
2. Kazi ya sales
Nimefanya hii kazi kwa vitengo viwili,
A.sales man/freelancer.
Nilikuwa katika mtandao wa simu wa MICTLTD unajulikana kwa jina la Tigo, hapa nilikuwa nasambaza laini, vocha, simu na moderm za internet.
Pia nilifanya settings katika simu zote za smartphone kwa wenye matatizo ya internet kwa sim zao.
B. Team Leader
Hapa nilifanya kazi katika mtandao wa halotel nikiwa kiongozi wa timu ya mauzo. Pia hapa nilihusika kutoa mafunzo kwa timu yangu ya mauzo ili wajue hatua na kanuni za mauzo kuwafanya wasikate tamaa wanapokuwa hawajapata wateja na kuwakumbusha kuwa mauzo ni dakika zote 600 kama ilivyo mpira dakika 90. Pia kuwa na lugha nzuri kwa wateja.
3.Mahesabu
Hapa nilifanya kazi katika maduka ya jumla ya vinywaji pamoja na yale ya vitu vya nyumbani katika kazi ya kupanua wigo wa biashara idara ya usambazaji pamoja na kufunga hesabu ya bidhaa kila jioni baada ya mauzo ili kujua kiasi cha pesa kilichotumika na kiasi kinachotakiwa kubaki (Cash in hand).
4. Lodge
Hapa nilifanya kazi kama mtu wa mapokezi kwa muda wa miezi 6 ambapo baadaye boss wangu alinipandisha na kuwa msimamizi/Manager wa ofisi yake ambayo pia ilikuwa na Restaurant na baa.
Naomba msaada wenu wakubwa, mbali na hizo kazi nilizo zitaja hapo nnao uwezo wa kufanya kazi yoyote ile ambayo ntapewa maelekezo kidogo na kuweza kuendelea mwenyewe kulingana na maelezo niliyopewa.
Sehemu yoyote naweza fika pia kuhusu swala la nauli ntahangaikia mwenyewe.
Kwa mawasiliano yangu ni 0712312205.
Asanteni wakuu.