Hiyo sehemu naijua sana na siyo mala ya kwanza kutokea tukio kama hilo.sema ugumu wa maisha ndiyo unaopelekea watu waendelee kufanya biashara hapo.
​hivi ni lugha gani watz tunaiweza? yaana hata kiswahili pia!!!!
Hiyo sehemu naijua sana na siyo mala ya kwanza kutokea tukio kama hilo.sema ugumu wa maisha ndiyo unaopelekea watu waendelee kufanya biashara hapo.