Ajali ya Morogoro imenipeleka kona nyingine

Nakumbuka kuna tukio la Prof mmoja nadhani mwaka juzi au jana alijipiga risasi (ilidaiwa kwa bahati mbaya) akiwa anasafisha bunduki yake.

Shida ni negligence tu wakati mwingine mfano kipindupindu kuendelea kuuwa watu.
 
Poleni watanzania na Msiba mzito.
Ajali ya lori la mafuta Mkoani Morogoro limenifikirisha mbali sana.

Nimejiuliza sana juu ya uweelewa wa watanzania na ung'amuzi juu ya vitu vidogo vidogo lakini vyamsingi katika maisha.

Nimekwenda mbali zaidi kujihoji juu ya Elimu ya kawaida(msingi) ya darasani tuipatayo kama inaweza kutufanya kutafakari jambo angalau kwa mapana kama sio kukaririshwa mambo mengi ambayo yamkini robotatu hayatumiki moja kwa moja katika maisha ya kawaida.

Ikiwa tunajinasibu watanzania wengi kupata Elimu ya msingi lakini ajali kama za Morogoro na kwingineko hasa za mlipuko wa moto pale watu wanapotaka kuiba battery za magari baada ya kuanguka nayaona kama, ni matokeo ya elimu yetu kanakwamba haitufanyi kufiri au kujihami kabla hatujafanyajambo lolote, hivi tujiulize kidogo wanajopo , je ni kweli wahanga na mashuhuda awakujua ..

1. Battery kazi yake ni nini?
2. inatokea nini ikiwa utagusisha temino ya battery?
3. Atakama battery inahitajika kutolewa kwenye gari je terminal ipi ianze kufunguliwa?
4. Je kama nachota mafuta (petrol) ni tahadhari gani nichukue juu ya maisha yangu?
na mengine mengi.

Kwangu mimi naona nivyema tuangalie mitaala yetu kama kweli inatusaidia katika maisha ya kawaida na sio kuwakaririsha wanafunzi mambo mengi ya juu wakati mengine hayatumiki katika maisha ya kawaida.

Iddi njema
Elimu unayoipata darasani lazima Inatumika katika maisha ya kawaida tatizo lipo kwa mwalimu anaewasilisha hyo mada kwa mwanafunzi pia na mwanafunzi anataka akariri ili afaulu mitihani tu, au hazingatii kabisa na hata mitihani anafeli,
Watu wanafikiri tunakaa darasani ili tufaulu mitihani, Hapana, unasoma ili uweze kukabiliana na mazingira yako ya kila siku.
 
Poleni watanzania na Msiba mzito.
Ajali ya lori la mafuta Mkoani Morogoro limenifikirisha mbali sana.

Nimejiuliza sana juu ya uweelewa wa watanzania na ung'amuzi juu ya vitu vidogo vidogo lakini vyamsingi katika maisha.

Nimekwenda mbali zaidi kujihoji juu ya Elimu ya kawaida(msingi) ya darasani tuipatayo kama inaweza kutufanya kutafakari jambo angalau kwa mapana kama sio kukaririshwa mambo mengi ambayo yamkini robotatu hayatumiki moja kwa moja katika maisha ya kawaida.

Ikiwa tunajinasibu watanzania wengi kupata Elimu ya msingi lakini ajali kama za Morogoro na kwingineko hasa za mlipuko wa moto pale watu wanapotaka kuiba battery za magari baada ya kuanguka nayaona kama, ni matokeo ya elimu yetu kanakwamba haitufanyi kufiri au kujihami kabla hatujafanyajambo lolote, hivi tujiulize kidogo wanajopo , je ni kweli wahanga na mashuhuda awakujua ..

1. Battery kazi yake ni nini?
2. inatokea nini ikiwa utagusisha temino ya battery?
3. Atakama battery inahitajika kutolewa kwenye gari je terminal ipi ianze kufunguliwa?
4. Je kama nachota mafuta (petrol) ni tahadhari gani nichukue juu ya maisha yangu?
na mengine mengi.

Kwangu mimi naona nivyema tuangalie mitaala yetu kama kweli inatusaidia katika maisha ya kawaida na sio kuwakaririsha wanafunzi mambo mengi ya juu wakati mengine hayatumiki katika maisha ya kawaida.

Iddi njema
Yapo mengi sana ya kufikirisha na kusikitisha pia. Mbali na elimu lakini utu haupo tena!
 
UJINGA na UMASKINI hupelekea watu kukosa Ustaarabu. Sehemu zote duniani yalipotokea matukio kama ya Morogoro (mf: Uganda, Nigeria, Congo, India) ni watu au mataifa yenye shida hizo mbili.

Hata gari la beer, soda au mikate likianguka watu wakanywa na kula wote huu ni UJINGA na UMASKINI.

Tuna safari ndefu na mengi ya kujifunza.
 
Mafuta yalilipuka sababu ya moto wa kwa mama lishe au sababu ya kuchomoa betri?

Kipi sahihi?
Nilisikia mafuta yalitiririka hadi kwenye shughuli za mama lishe.
 
Then akasababisha jehhanam ndogo kwa wenzie
Na umesema kweli. Tulifundishwa tangu utotoni kuwa; Cha kuokota si mali yako haswa ukimjua mwenyewe. Usipomrudishia wewe ni mwizi. Ukifa utaenda Jehanam. Sio kwamba nawahukumu ila hawakuwa mahali sahihi na tendo lao sio sahihi. Msinitukane ila hata mimi nimehuzunishwa
 
Elimu ya darasani itabaki kuwa ya darasani,Kama mtu ana PHD anakana maandishi yake,mtu ni prof anasema kaokotwa jalalani ,We unaona akili ya kawaida hiyo.?
 
Usiweke siasa kwenye mambo ya Msingi. Hizi ajali za Moto kutokana na mafuta tumezishuhudia Nigeria na Congo zikiua mamia ya watu, huko nako CCM inatawala?. Chuki zako za kisiasa zisiuharibu ufahamu wako.
Correct

Tanzania elimu ni zero na ndio ujinga wetu tunakufa kwa kukosa uelewa.

CCM ya sasa ni upumbavu mtupu uongo kila sehemu kiasi kwamba Elimu yetu ni magumashi na data fake za matokeo

CCM ya Nyerere ilikuwa Smart sio hii ya wajingawajinga, kuzibana midomo , kutekana nk
 
Usiweke siasa kwenye mambo ya Msingi. Hizi ajali za Moto kutokana na mafuta tumezishuhudia Nigeria na Congo zikiua mamia ya watu, huko nako CCM inatawala?. Chuki zako za kisiasa zisiuharibu ufahamu wako.

Kajinyonge kama huamini

CCM ndio source ya ushenzi wa kila jambo ovu Tanzania
Elimu ya hovyo
Afya hovyo
Wasiojulikana
Siasa chafu
Matusi
Nk
 
Kuna tatizo LA msongo wa mawazo linakusumbua, bora utafute tiba mapema. CCM ni chuo cha siasa safi na uongozi bora Africa na duniani. Vyama vingi vinakuja kujifunza Tanzania. Kama huamini, fuatilia Mkutano huu wa SADC. Nchi nyingi zinaitamani Tanzania kwaajili ya CCM. Hapo ulipo, upo salama kwaajili ya CCM. Elimu yetu ni bora sana ndiomaana watanzania wanapata scholarship nyingi kusoma vyuo vikubwa na maarufu duniani. Baraza letu la NECTA na NACTE ni mamlaka bora zaidi za udhibiti wa ubora wa Elimu Afrika na duniani kwa sababu ya CCM. Huduma zetu za afya kwa utaalamu, vifaa ns huduma ni kiwango cha lami. Usikariri upotoshaji wa vijiweni, Jifunze. Ngoja nkupe mifano. Chuo cha SUA, Muhimbili, Nelson Mandela na Udsm vinakimbiliwa sana ns wanafunzi toka nje ya nchi kwa sababu ya ubora. Hospitali. Madaktari wetu ni bora sana na wanatafutwa huku na kule wakahudumu nje ya nchi. Kama una wazazi, waulize wakufumbue macho. i
Kajinyonge kama huamini

CCM ndio source ya ushenzi wa kila jambo ovu Tanzania
Elimu ya hovyo
Afya hovyo
Wasiojulikana
Siasa chafu
Matusi
Nk
 
Teja hana nafasi ya kuwaza hayo yako bali anachowaza ni kitu gani nitapata kama nikifanikiwa kuichukua hii betri.

Anachoona ni kiasi gani cha "dawa" nitajipatia nikiiuza hii betri. Wazo kwamba niitoeje hapo si tatizo bali niitoe fasta niiwahishe kwa tajiri nipate za kunitosha.

Kwanza; Mafuta unahitaji vitu kadhaa; dumu na kichoteo. Hakuna mahali nitalipata dumu hapa karibuni hivyo cha karibu ni betri. Elimu itasaidia nini?

Alichoona anaweza kwenda pata za kutosha ni betri. Ataichukua hata kwa kukata zile waya kwa kuzing'oa kwa nguvu ya mikono bila spana

Duu,nimejikuta tu nacheka aisee,Mungu atunusuru na haya majanga!
 
Back
Top Bottom