Ajali ya kutisha Jet lumo jioni ya leo

Ajali ya kutisha Jet lumo jioni ya leo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,520
Reaction score
830,019
1414527096504.jpg ni kona ya Jet Lumo semi trailer imeangusha container iliyokwenda kuangukia juu ya daladala iliyokuwa kituoni majeruhi na vifo bado hakuna taarifa kwakuwa container ni zito na crane iliyokuja imeshindwa kulinyanyua
 
hii ni breaking newz au taarifa. naana mchana hapo. na imetumewa kama dk 12 zilizopita
 
hii ni breaking newz au taarifa. naana mchana hapo. na imetumewa kama dk 12 zilizopita

Imekuja kwa mfumo wa picha sasa, wee uliipata mchana wengine jioni wengine saa hii na wengine pengine kesho, kwenye heading hakuna neno breaking news au news alert
 
Hi michezo ya Makotainer kuangikia mgari sijui itaisha lini. Au wanasubiri mpaka iwe imandikwa UKAWA ndio watakurupuka huko waliko.
 
Hii ni hatari maana izirael wa kupindua vyuma yupo maeneo hayo sana Leo mda sio mrefu behewa la tren limepinduka vingunguti nyuma ya godaun la Azam sasa ni shidaaa
 
Back
Top Bottom