Ajali ni ajali tu.., huwezi jua labda alikuwa na msongo tu wa mawazo. By the way, it seems alikuudhi sana huyo jamaa alipokupita, na nahisi ili kumaliza hasira zako ukamkazia hadi sekunde ya mwisho alipokuwa hana pakupita ndio ikabidi akimbilie mtaroni. Na inaonekana roho yako imesuuzika kweli