Mwanamwana
Platinum Member
- Aug 1, 2011
- 9,604
- 22,713
Watu 2 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 10 wamejeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Bagamoyo kwenda Dsm kuacha njia na kugonga mti kisha kupinduka ktk eneo la Mbuyuni -Tegeta.
Source: RADIO1 STEREO
Source: RADIO1 STEREO