Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
Wakuu, usiku wa kuamkia leo imetokea ajali mbaya sana eneo la Ubungo kuelekea Buguruni hapa njiapanda ya kuelekea Kibangu.
Bodaboda akiwa amebeba abiria mama na mwanae mwenye umri kama wa mwaka mmoja wamepata ajali, mama na bodaboda wamefariki ila mtoto amepona.
Bodaboda akiwa amebeba abiria mama na mwanae mwenye umri kama wa mwaka mmoja wamepata ajali, mama na bodaboda wamefariki ila mtoto amepona.