Ajali ya basi Ruvu

Ajali ya basi Ruvu

hakuna majeruhi ina maana wote wamekufa au wote wazima? funguka vzuri.
 
Hadi matuta yanayo haribu barabara na MAGARI yatakapo ondolewa na Sheria za Usalama zitakapo zingatiwa na kusimamia na kila muhuska ndo hizi ajali zembe zitaondoka

Ni kero sana kuendesha gari ktk barabara za Tz ambazo nyingi zimejengwa chini ya viwango na watumiaji kuanzia watembea kwa miguu mpaka madereva hawana habari na usalama barabarani!
 
Hizo kawaida, unashtua watu tu kusema ajali, hii haiwezi kuandikwa hata kwenye gazeti la udaku!
 
hawa super feo kazi ya kukimbia tu utadhani wamepakia magunia ya viazi. Ashukuriwe Mungu hakuna majeruhi
 
Hawa Superfeo kazi ya kukimbia tu utadhani wamepakia magunia ya viazi. Ashukuriwe Mungu hakuna majeruhi

Hata hivyo Songea napo ni mbali sana Mkuu na abiria wanapenda kuwai kufika. Ukichelewa kufika unaanza kuskia wanalichamba gari! Mara Oooh gari lenyewe halikimbii! Kesho yake unakuta abiria wote wamehamia Mbeya Express na Sai Baba. Wewe mwenyewe jiulize, watu wa Songea wanajua kabisa Superfeo linakambia sana lakini kila siku wanajazana humo humo! Ni kwa sababu wanapenda huo mwendo ila yakitokea majanga wanawageuka madereva. Utaskia Oooh Dereva alikuwa anaendesha kwa spidi sana! Ila wakifika salama hawalalamiki!
 
Back
Top Bottom