Ajali ya basi na lori: Mkuu wa Kituo cha Polisi Kibaha ni jipu, atumbuliwe

slowpancha

Senior Member
Jul 27, 2014
184
102
Kuna ajali imetokea jana kiluvya nafikiri, basi la kampuni ya safari limegonga nyuma ya roli, lakini ajabu ni kuwa dereva wa roli kawekwa mahabusu wakati dereva wa basi akiachiliwa.

Mpaka trafick wengine wa kituo cha Kibaha wakishangazwa na uamuzi wa mkuu wa kituo.

Niko na Picha za tukio hilo najaribu kuziweka tushee mawazo au ujuzi wa kisheria, na ajabu sehemu iliyotokea ajali Kuna kibao cha 50
basi1.jpg
bas2.jpg
bas3.jpg
 
Huyo dreva wa lori yuko mahabusu kituo kipi cha polisi, na mkuu wa kituo hicho cha polisi anaitwa nani, RB namba ya hilo tukio ni ngapi? Je huyo mkuu wa kituo anasemaje kuhusu uamuzi wake? Vipi kuhusu makosa yaliyoonekana baada ya kupima, wanasemaje nii nani mwenye makosa? Na wewe umeshafuatilia hapo kituo cha polisi, umefikia hatua ipi hadi sasa?
 
Maswali ni mengi sana kuliko kutenda, tuliyowengi huwa tunachukuwa tukio nakulileta kisha hatufuatilii na hii nikutokana na kutokuhusika katika tukio kwa bimana mtenda ama mtendwa hawatuhusu. hivyo anayeweza kusaidia aweze kuingilia kati katika kutoa msaada.
 
Huyo dreva wa lori yuko mahabusu kituo kipi cha polisi, na mkuu wa kituo hicho cha polisi anaitwa nani, RB namba ya hilo tukio ni ngapi? Je huyo mkuu wa kituo anasemaje kuhusu uamuzi wake? Vipi kuhusu makosa yaliyoonekana baada ya kupima, wanasemaje nii nani mwenye makosa? Na wewe umeshafuatilia hapo kituo cha polisi, umefikia hatua ipi hadi sasa?
Mkuu ni kituo cha hapo maili moja, kwa taarifa nilizozipata huyo dereva wa roli alidhaminiwa usiku na madereva wenzake, huyo mkuu wa kituo naambiwa anaitwa moli moli nafikiri, lkn kwa picha hii ya ajali wa kwenda mahakamani alikuwa dereva wa roli au wa basi? Na isitoshe kama kulikua na katazo la usizidi speed 50 inakuaje dereva wa basi ashindwe kusimama hata kama roli lilisimama gafla? Na je alama za mistari zinaruhusu kuovateki?
 
Maswali ni mengi sana kuliko kutenda, tuliyowengi huwa tunachukuwa tukio nakulileta kisha hatufuatilii na hii nikutokana na kutokuhusika katika tukio kwa bimana mtenda ama mtendwa hawatuhusu. hivyo anayeweza kusaidia aweze kuingilia kati katika kutoa msaada.
Ni kweli kbs, naona haki humtizama mwenye kitu
 
Mkuu ni kituo cha hapo maili moja, kwa taarifa nilizozipata huyo dereva wa roli alidhaminiwa usiku na madereva wenzake, huyo mkuu wa kituo naambiwa anaitwa moli moli nafikiri, lkn kwa picha hii ya ajali wa kwenda mahakamani alikuwa dereva wa roli au wa basi? Na isitoshe kama kulikua na katazo la usizidi speed 50 inakuaje dereva wa basi ashindwe kusimama hata kama roli lilisimama gafla? Na je alama za mistari zinaruhusu kuovateki?
Dereva wa basi anakosa kwa ku overtake mahali pasipo ruhusu hayo mengine pia ni makosa kugonga nyuma.
 
Huyo dreva wa lori yuko mahabusu kituo kipi cha polisi, na mkuu wa kituo hicho cha polisi anaitwa nani, RB namba ya hilo tukio ni ngapi? Je huyo mkuu wa kituo anasemaje kuhusu uamuzi wake? Vipi kuhusu makosa yaliyoonekana baada ya kupima, wanasemaje nii nani mwenye makosa? Na wewe umeshafuatilia hapo kituo cha polisi, umefikia hatua ipi hadi sasa?
Bila kujua ni kwanini amewekwa mahabusu picha haiwezi kuelezea chochote! Pengine alikuwa mlevi! Pengine hana leseni! Pengine lori lake lilikuwa bovu kiasi cha kusababisha ajali! Pengine alifanya fujo na kujeruhi baada ya ajali! Pengine lori ni la wizi! Pengine ni mtuhumiwa na alikuwa anatafutwa! ......Na dereva wa basi kutokuwekwa ndani haimaanishi hana makosa ya barabarani kwani watakuwa wameshachukua deatils zake!
 
Mara ghafla mkuu akapokea simu 'aisee nimepata taarifa gari yangu imepata matatizo hapo karibu ma kituo chako, kwa taarifa za awali najua my driver ndio anamakosa ila si unajua biashara hii kaka, naomba unifanyie mpango gari itoke na hii mambo iishe kiaina. Nitakutafuta baadae tuongee zaidi. Ok nitaangalia namna ya kufanya... Tli tli tli..... Simu ikakata.
 
Nadhani haya mabasi nayo yajengewe njia yao ya kwenda kasi!
 
Bila kujua ni kwanini amewekwa mahabusu picha haiwezi kuelezea chochote! Pengine alikuwa mlevi! Pengine hana leseni! Pengine lori lake lilikuwa bovu kiasi cha kusababisha ajali! Pengine alifanya fujo na kujeruhi baada ya ajali! Pengine lori ni la wizi! Pengine ni mtuhumiwa na alikuwa anatafutwa! ......Na dereva wa basi kutokuwekwa ndani haimaanishi hana makosa ya barabarani kwani watakuwa wameshachukua deatils zake!
Kwa mujibu wa wanaofuatilia ishu hii ajali imechorwa leo, nalo ni stahiki? Dereva hakulewa, hakugombana na leseni anayo na pia hakugombana, inakuaje hii? Mi naona kuna ubakaji wa sheria,na u kabila. Najaribu kufuatilia kabila ya huyu mkuu wa polisi na kabila ya huyu mmiliki wa haya mabasi ya safari njema ambayo zamani yaliitwa Super sonic kama Kuna uhusiano
 
Kwa mujibu wa wanaofuatilia ishu hii ajali imechorwa leo, nalo ni stahiki? Dereva hakulewa, hakugombana na leseni anayo na pia hakugombana, inakuaje hii? Mi naona kuna ubakaji wa sheria,na u kabila. Najaribu kufuatilia kabila ya huyu mkuu wa polisi na kabila ya huyu mmiliki wa haya mabasi ya safari njema ambayo zamani yaliitwa Super sonic kama Kuna uhusiano
Mimi nimejibu kulingana na maelezo yaliyotolewa! Na nimetahadharisha kabisa kuwa picha pekee haitoshi kutupa conclusion ya kilichotokea. Kama wewe au kuna mtu yoyote anayeweza kufuatilia na kuzungumza na pande zote na akaja na maelezo ya kina basi atakuwa amefanya zaidi ya picha zilizowasilishwa pamoja na dukuduku la mwanzisha thread.
 
Hv, ushahidi wa picha na ushahidi wa mdomo kp kinaleta uhalisia wa jambo husika? Hrf tunafundishwa kuiacha gari ya mbele yako mita ngapi? Tufahamishane hili
 
Ukifuatilia vizuri utaona kwamba Scania lilikuwa kwenye track line yake vizuri sana tu.
Sasa muonekano ulivyo ni kwamba Bus lilikuwa njia nyingine then likatanua ghafla kwa upande wa Lori.
Na kosa la Pili ni kugonga gari kwa nyuma,hili halina mjadala,maana ni lazima uache mita kadhaa tena nyingi from gari to gari na inafahamika.
Mwenye basi amechemka,sema tu wenye malori wana dam ya wema sepetu hata zuri kwao baya
 
Ukifuatilia vizuri utaona kwamba Scania lilikuwa kwenye track line yake vizuri sana tu.
Sasa muonekano ulivyo ni kwamba Bus lilikuwa njia nyingine then likatanua ghafla kwa upande wa Lori.
Na kosa la Pili ni kugonga gari kwa nyuma,hili halina mjadala,maana ni lazima uache mita kadhaa tena nyingi from gari to gari na inafahamika.
Mwenye basi amechemka,sema tu wenye malori wana dam ya wema sepetu hata zuri kwao baya
Ni kweli mkuu hilo halina ubishi
 
Ukifuatilia vizuri utaona kwamba Scania lilikuwa kwenye track line yake vizuri sana tu.
Sasa muonekano ulivyo ni kwamba Bus lilikuwa njia nyingine then likatanua ghafla kwa upande wa Lori.
Na kosa la Pili ni kugonga gari kwa nyuma,hili halina mjadala,maana ni lazima uache mita kadhaa tena nyingi from gari to gari na inafahamika.
Mwenye basi amechemka,sema tu wenye malori wana dam ya wema sepetu hata zuri kwao baya
Hapo umenena
 
Ukifuatilia vizuri utaona kwamba Scania lilikuwa kwenye track line yake vizuri sana tu.
Sasa muonekano ulivyo ni kwamba Bus lilikuwa njia nyingine then likatanua ghafla kwa upande wa Lori.
Na kosa la Pili ni kugonga gari kwa nyuma,hili halina mjadala,maana ni lazima uache mita kadhaa tena nyingi from gari to gari na inafahamika.
Mwenye basi amechemka,sema tu wenye malori wana dam ya wema sepetu hata zuri kwao baya
Hapo umenena,
 
Back
Top Bottom