Wakuu kwa yeyote mwenye taarifa zaidi atufahamishe nimepigiwa simu na ndugu yangu kuwa kuna ajali ya basi imetokea muda si mrefu maeneo ya Gairo ni basi la kampuni ya Champion na lori la mizigo watu sita wamefariki hapohapo na majeruhi ni wengi yeyote mwenye taarifa zaidi atujulishe