Ajali Ubungo Riverside

wana jf tuache upumbavu na kuwa na mawazo machafu ..barabara zetu ni mbovu na magari ni mambovu ajali zikitokea tunasingizia freemason..haya si ni masaburi kweli?

Toka watu wasikie kuna freemasons basi kila kitu kinachowalazimu wafikirie nje ya box ili wakielewe wanakihusisha na masonry (wamezoea kufikria ndani ya box na hawataki kuacha).
 
Inauma sana...Poleni Sana wafiwa wote na wale wote waliopata majeraha. Hivi hawa madereva wanaosababisha ajali hizi na kisha kukimbia....hatuwezi hata kushinikiza wanaomiliki magari kuhusu utaratibu wa kuwa na taarifa kamili za watu wanaowaajiri! Inakera sana kuona hawa washenzi wanatokomea kila wasababishapo ajali!..Naitamani sana UDA ya enzi zile na sio hii uchwara ya sasa hivi!!!
 

pole sana mkuu!
 
Naikumbuka hii ajali. Nilikua first year UDSM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…