Mimi niligongwa na daladala mwishoni mwa October lilipokuwa lina-overtake kushoto ili kuwahi abiria wakati najiandaa kupanda daladala lingine, nilivunjika mkono na kuwekewa vyuma, hadi sasa nina POP na kesi iko makao makuu traffic, maandalizi ya kuipeleka mahakamani yanaendelea............
Daladala ni janga hapa nchini, hususan jijini Dar,