Ajali Tanzania, nani alaumiwe?

Ajali Tanzania, nani alaumiwe?

AMEND

Member
Joined
Aug 6, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Mwaka 2008 asilimia 75 ya ajali za barabarani zilisababishwa na sababu za kibinadamu kama mwendo kasi, uzembe wa madereva, kuendesha ukiwa umelewa n.k , wakati hali ya barabara na ubovu wa magari ulichangia asilia 25 (Chanzo: Ripoti ya Mwaka ya Trafiki Tanzania, 2012) . Sasa tujiulize, tutaendelea kunyosheana vidole hadi lini wakati sehemu kubwa ya ajali hizi chanzo na wahanga ni sisi wenyewe? Dhamini maisha yako na ya wengine, chukua tahadhari uwapo barabarani.
 
Back
Top Bottom