FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,873
- 44,925
Nimepita hapo na kukuta civilian na DCM zimeminyana kwa mbele na kufunga barabara ya kutokea buguruni kwenda Tabata. Ila si vibaya tukapata taarifa zaidi.
Jamaa anakaa pale Matumbi ndiyo maana anaona sana ajali za barabara ile.jamaaa we taarifa zako zote za ajali ni tabata tu....
Jamaa anakaa pale Matumbi ndiyo maana anaona sana ajali za barabara ile.
Ukiona hivyo, ujue ndo maskani yake hukojamaaa we taarifa zako zote za ajali ni tabata tu....
Utakua mkurya wewekama hakuna vifo ni jambo ra kumshukuru mungu.
Utakua mkurya wewe
Francis da Don kwa Mwezi huu ume report matukio kadhaaNimepita hapo na kukuta civilian na DCM zimeminyana kwa mbele na kufunga barabara ya kutokea buguruni kwenda Tabata. Ila si vibaya tukapata taarifa zaidi.
Wasira sorry wakurya wako kitunda wanafuga kuku wa mayaiUtakua mkurya wewe