Kwa tunao tumia barabara ya Morogoro-Chalinze Dar mziki ni mnene
Kuna ajali daraja la Ruvu
Tanker ya mafuta imegongana na fuso..zimamoto wamewahi
Wazee wa betri hawakuwepo
Kuna bonge pin!!!!!!
Leo moro saa 12 jioni
Kuna ajali daraja la Ruvu
Tanker ya mafuta imegongana na fuso..zimamoto wamewahi
Wazee wa betri hawakuwepo
Kuna bonge pin!!!!!!
Leo moro saa 12 jioni
Habari ndugu zangu kwa anaetaka kutoka mda huu kwenda mikoani ni bora wakapitia njia ya bagamoyo
Kwa maana barabara ya Morogoro road kuanzia Mlandizi magari yamekwama na hakupitiki tangu saa moja asubuhi,hii na hakuna dalili ya kuondoka kwa muda huu
Chanzo inasemekana kuna ajari maeneo ya Ruvu View attachment 1181793