Ajali nyumbu na gari serengeti

Ajali nyumbu na gari serengeti

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Watu 3 wafa, 40 wajeruhiwa baada ya Fuso waliyopanda ikitokea mnada Dutwa kugonga nyumbu na kupinduka usiku huu. Majeruhi wakimbizwa BDDH Hosp.chanzo:Mwananchi
 
mungu atawajalia kheri mupone haraka majeruhi wote.
 
duuuu kama angekuwa kina...ana si wangekufa wote...
 
Watu 3 wafa, 40 wajeruhiwa baada ya Fuso waliyopanda ikitokea mnada Dutwa kugonga nyumbu na kupinduka usiku huu. Majeruhi wakimbizwa BDDH Hosp.chanzo:Mwananchi

Gazeti la usiku huu yanapatikana wapi mkuu?
 
Chanzo gazeti MWANANCHI..!!!!!! au ulitaka kusema "CHANZO NI MIMI MWANANCHI" ??
 
Poleni sana mimi nilifikiri nyumbu CCM kumbe nyumbu mnyama
 
AJALI SERENGETI: Majeruhi 4 kati ya 40 waliolazwa Hosp. teule ya wilaya Bunda (BDDH) muda huu wahamishiwa Bugando, Mwanza. Dk. kiongozi, C. Kudila athibitisha.
 
Majeruhi wote walale mahali pema peponi na marehemu wote wapate ahueni amina!
 
Back
Top Bottom