Ajali nje kidogo ya mji Chalinze

Ajali nje kidogo ya mji Chalinze

duuh! Kweli mungu kasaidia na 2shukuru sana km hakuna aliyefariki na 2nawapa pole majeruh wote hakika wote watapona. Pia 2nashukuru kwa newz @ jamii forum
 
Poleni sana majeruhi mungu awajalie mpone haraka. Pia tumekuta ajali nyingine ya Airbus ya Tanga - Arusha, ajali imetokea kati ya Same na Njia panda ya himo. Imekuwa siku ya ajali leo.
 
Hizi safari za mwezi December ni za muhimu kweli au ni za ushabiki!!
 
sasa basi si halijaumia??
kuumia kwa watu hakutegemei basi kuanguka vby ama vzr watu kuumia ni matokeo ya ajali tu.

ila kwa mwenye mali atasema namshukuru Mungu,gari langu halijaumia sana


Siku yakikukuta utajua kama gari huwa linaumia kidogo au sana. Kama huna la kuchangia ni bora kukaa kimya, hayo maneno ungeacha ayaseme huyo mwenye gari kuliko kumuwekea maneno mdomoni. Sijui kama ungekua ni mmoja wa hao abiria na ukawa umepata majeraha kama ungeongea hayo? Usichukulie kua hakuna aliyefariki kwako ikawa ni sehemu ya jokes, kumbuka hata aliyevunjika miguu au mikono na kupata kilema cha maisha anaitwa ni majeruhi. Think great.
 
Back
Top Bottom