Kha!vizuri???????ila limedondoka vizuri kweli.
hapa maintenance itakuwa kwenye rangi tu kama ni gari la chuma kama mchina itabidi na bodi ikdogo inyooshwe.
Heee! limeanguka vizuri? Huku watu wameumia
Rimepata ajaliLingekuwa la kwako ungesema limeangukaje? Hebu tusaidie.
sasa basi si halijaumia??
kuumia kwa watu hakutegemei basi kuanguka vby ama vzr watu kuumia ni matokeo ya ajali tu.
ila kwa mwenye mali atasema namshukuru Mungu,gari langu halijaumia sana