Ajali imetokea eneo la Makunganya,Morogoro lilkilihusisha basi la MASTER CITY lilikuwa likitokea Dar kuelekea Mwanza.Ajali hiyo ilitokea baada ya basi kugonga lori na inasadikika ilitokea kutokana na mwendo kasi wa dereva.Kondakta amefariki papo hapo.
Poleni sana wafiwa na mliojeruhiwa!
Poleni sana wafiwa na mliojeruhiwa!