Ajali Mkula Bariadi

Manyerere Jackton

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
2,438
Reaction score
4,461
Nipo hapa Mkula. Kuna vijana wawili, Byabato Kilama na Haji Mwasi wa kampuni ya zuku wamepata ajali mbaya. Gari la la Rav4 halitamaniki. Byabato nimemfikisha Mkula Hospital. Kaumia kichwani na sehemu nyingine za mwili.
 
Nipo hapa Mkula. Kuna vijana wawili, Byabato Kilama na Haji Mwasi wa kampuni ya zuku wamepata ajali mbaya. Gari la la Rav4 halitamaniki. Byabato nimemfikisha Mkula Hospital. Kaumia kichwani na sehemu nyingine za mwili.

Natumaini utakuwa umetaarifu ndugu zao kwanza kabla ya kurusha humu as umewajua na majina. Wape pole
 
Vipi, hapo ilipotokea ajali barabara imekaaje? Kuna shimo pia ndani ya barabara?
 
Pole majeruhi. May you recover soon.

Chanzo cha ajali ni nini?
 
Natumaini utakuwa umetaarifu ndugu zao kwanza kabla ya kurusha humu as umewajua na majina. Wape pole

Pia kurusha huku jf inasaidia zaidi kwa sababu message itawafikia ndugu jamaa marafiki na majirani kwa urahisi zaidi
 
Huyo umemfikisha spitali, huyo mwingine hali yake ikoje?
 
Nipo hapa Mkula. Kuna vijana wawili, Byabato Kilama na Haji Mwasi wa kampuni ya zuku wamepata ajali mbaya. Gari la la Rav4 halitamaniki. Byabato nimemfikisha Mkula Hospital. Kaumia kichwani na sehemu nyingine za mwili.

Byabato Kilama ninaemfahamu??! Mtoto wa prof. Kilama?!
 
Pia kurusha huku jf inasaidia zaidi kwa sababu message itawafikia ndugu jamaa marafiki na majirani kwa urahisi zaidi

Sijasema asirushe ila bila habari zaidi kama wakoje etc ni vizuri kutaarifu ndugu, jamaa na kupozi kwanza.

Kungekuwa hajarusha majina si mind ila majina bika taarifa watu wataanza kufikiria mengi.

Ni vizuri akarusha update anapopata tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…