Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Kuna ajali mbili zimetokea barabara ya Mandela majira ya saa 5 usiku huu, moja maeneo ya Tabata Matumbi, ikijumuisha Semi-Trailer ya DAF na Starlet ndogo ambayo ni taxi, lori limehama njia na Starlet imekuwa nyakanyaka. Nilikuwa mu-daladala hivyo sikujua habari ya majeruhi wala maiti.
Nyengine imetokea maeneo ya Ubungo Gereji, lori moja limegonga jingine kwa nyuma!
Mwenye updates si mbaya akatuwekea!
Nyengine imetokea maeneo ya Ubungo Gereji, lori moja limegonga jingine kwa nyuma!
Mwenye updates si mbaya akatuwekea!