Ajali Mbezi Magari Saba

Ajali Mbezi Magari Saba

mkuuu nikweli haya???

Mkuu ni kweli kabisa, niliisikiliza ile hotuba hadi mwisho na nilisikitika sana. Ungepata clip yake ungesikia mwenyewe na masikio yako!!! Alisema kabisa eti kuna mtu naye alikuwa anataka fedha ya EPA na alipokosa akachoma utambi, kitu ambacho ni kweli maana hata post za awali za JF katika ile chain ya EPA zilitaja kabisa jina la yule mhindi aliyechoma utambi baada ya yeye kukosa. Nikafurahi zaidi aliposema "Kula nawe uliwe" Hayo yalikuwa ni quotes of the day!!
 
masopakyindi; Mkulu aliwahi kusema kwamba foleni ndefu na wingi wa magari barabarani ni ishara ya maendeleo.Bila shaka hizo ni faida ya maendeleo na siyo ufinyu wa miundombinu!
Tena siku hizi ma-Vogi na ma-V8 na ma-Jeep yanaenda slow motion utafikiri kuna fashion show ya magari ya bei mbaya!!!!
Maendeleo bana!
 
Duh huku swala Na twiga, huku shaba. Kila siku ufisadi mpya unagundulika. Wakati wananchi tukiendelea kurundikiwa kodi maliasili zetu zinafilisiwa Na wajanja!
 
Back
Top Bottom