Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,438
- 4,461
Kuna magari matatu yamegongana muda huu eneo la Mbezi Magari Saba. Lori moja lilikuwa na shehena kubwa mno ya "mapipa" kana kwamba kuna lami ndani. Kumbe si lami, bali ni shaba ya magendo. Baada ya kupinduka, mapipa yameanguka na kupasuka, ndipo siri hii imebainika.
Jamani, magendo haya yatakoma lini?
Jamani, magendo haya yatakoma lini?