Ajali mbeya

Mohamed Mbelwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
507
Reaction score
272
Kuna ajali imetokea maeneo ya nanenane darajani mjini mbeya. Iliyosababishwa na magari mawili kugongana. Inasemekana watu 6 wamefariki papohapo
 
Mwenyezi mungu amuweke kila Marehemu mahala alipostahili , Amina .
 
Pole kwa wafiwa, Mungu awaponye majeruhi...
 
Pole kwa wafiwa na majeruhi Mungu awaponye haraka kwa mapenzi yake. Mbeya siku hizi inaizidi hata Moro kwa ajali sijui kwa nini.
 
Ni hapo daraja la treni mkuu? ni aina gani ya magari?
 
Mungu awape heri wote waliofariki na afya njema walionusurika.
 
Ukisha jua aina ya magari then what next??
Hii inakusaidia kama una-ka research kako binafsi una fanya kuweza kujua ni aina gani ya magari yanakuwa na ajli za mara kwa mara ili uwe na choice nzuri ya gari za kununua,hii hasa ni nzuri ukizingatia katika nchi kama yetu hakuna authority yoyote ina muda wa kufuatilia ni aina gani ya gari zina ajali za mara kwa mara ili ziweze kufanyiwa uchunguzi na ikiwezekana kuwaonya wananchi wasinunue au kutumia aina hizo za magari au ku-ban yasiingizwe kabisa nchini.
 
Ndani ya siku 2 tayari watu takriban kumi wanakufa kwa ajali za barabaran juzi usiku maseyi
 
Wana Jamvi.
If anything nimekua nikifuatilia ajali katika bara bara hii kwa muda kwakweli something need to be done Urgently.

Hapana its too much.

Nilijaribu kuuliza nimepewa sababu nyingi ikiwemo Hiace kubeba magendo from Kyela and Tunduma ndio wanakua katika mwendo kasi lakini hapana lazima kutakua na another solvable issue

[h=3]BREAKING
NUUZ, AJALI MBAYA YA MAGARI IMETOKEA ENEO LA NANE NANE DARAJANI UYOLE MBEYA ,
YAJERUHI NA WATU WANNE WAHOFIWA KUFA HAAPO HAPO.SHUHUDIA
[/h]










GARI LA ABIRIA AINA YA
HIACE IKIWA IMEGONGANA USO KWA USO NA GARI AINA YA LAND CRUISER




HIZI NI BAADHI YA MAITI
ZILIZO OKOLEWA PUNDE BAADA YA AJALI KUTOKEA




HIVI NDIVYO DALADALA HII
ILIVYO HARIBIKA BAADA YA AJALI HIYO KUTOKEA








DALADALA IKIWA IMEUMIA
VIBAYA







HILI NDILO ENEO AMBAPO
AJALI HIYO IMETOKEA
















TINGO WA DALADALA
AKIWAANASHUSHWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA





TINGO WA DALADA\LA AKIWA
ANAPELEKWA KATIKA MSAADA WA HARAKA RUFAA


MMOJA WA ABIRIA
AKIKIMBIZWA KATIKA MSAADA WA HARAKA RUFAA


MWILI WA DEREVA WA DALADALA
ALIYE FARIKI PAPO HAPO UKIPELEKWA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI
RUFAA
 
Ndani ya siku 2 tayari watu takriban kumi wanakufa kwa ajali za barabaran juzi usiku maseyi

Hiyo idadi ni ndogo hapo umejumlisha na wanaobatuliwa kila siku achilia mbali magar yanayobatuana yenyewe kwa yenyewe?
 
Poleni wana wa MAFIAT,BLOCK T,KWA DHANDO,NZOVWE,MWANJELWA,MBALIZI,UYOLE,META,MABATINI,SOKO MATOLA,IYUNGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…