Picha ya kwanza Polisi amebeba kichwa cha mwanamke aliyekuwa mja mzito na kufa papo hapo kwa kiwiliwili kutenganishwa na kichwa ajali iliyotokea huko barabara ya Mandela iliyosababishwa na lori la mafuta.
Picha ya pili na tatu magari ambayo yaliharibiwa na lori la mafuta lililosababisha ajali huko Ubunge barabara ya mndela.
Picha ya kwanza Polisi amebeba kichwa cha mwanamke aliyekuwa mja mzito na kufa papo hapo kwa kiwiliwili kutenganishwa na kichwa ajali iliyotokea huko barabara ya Mandela iliyosababishwa na lori la mafuta.
Picha ya pili na tatu magari ambayo yaliharibiwa na lori la mafuta lililosababisha ajali huko Ubunge barabara ya mndela.
Picha ya kwanza Polisi amebeba kichwa cha mwanamke aliyekuwa mja mzito na kufa papo hapo kwa kiwiliwili kutenganishwa na kichwa ajali iliyotokea huko barabara ya Mandela iliyosababishwa na lori la mafuta.
Picha ya pili na tatu magari ambayo yaliharibiwa na lori la mafuta lililosababisha ajali huko Ubunge barabara ya mndela.
Juzi tu nlimwona Swaiba wangu Prosper na hyo gari yake nyekundu halafu leo ndo imekuwa skrepa namna hyo? Ee Mungu umponye haraka Prosper Alfred Mwakitalima na majeruh wote na pia Uwalaze pema pepon wote waliokufa.
hapa duniani tu wapitaji...na kila wakati tukae mkao wa kuondoka ...nashangaa watu wanodhulume wenzao as if wana permanent life permit ya kuishi hapa duniani
Duh ilikuwa noma habari hizi nilizisoma kwenye magazeti,kipindi hiko JamiiForums nikiingia kama guest user na humu ndani mlikuwa na vichwa kweli kweli popoma alikuwa hatii pua
Poleni majeruhi na wafiwa. Naisoma ajali hii nikiwa safarini kutoka Moro kuja Dar. Eeh Mola mpe busara dereva wetu wa New Force na uilinde safari yetu tufike salama salmini, Ameen.