Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Ajali imetokea kutokana na mwendo kasi wa gari na kubeba mzigo zaidi ya kiwango.
Polisi wamekataa kupima kwa vile
- gari halina road license
- gari halina insurance
- dereva hana leseni
- gari halina indicator
- gari halina breki
- Gari halina honi