Ajali Mbaya sana hapa KIA

Ajali Mbaya sana hapa KIA

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
14,683
Reaction score
20,460
Kuna ajali mbaya sana imetokea hapa KIA barabara ya Moshi Arusha, tumekuta hapa gari aina ya landover ikiwa imegongwa vibaya
Na watu watano wamefariki hapo hapo.

Maiti na Majeruhi bado wapo hapa.
Kama kuna mwanajamii yoyote anayeweza kutoa taarifa polisi afanye hivyo, sisi tumeshindwa kwani simu tunazopiga polisi hazipokelewi.
 
Sioni faida ya leseni mpya kwamba zitapunguza ajali
 
dah poleni wanajamii kwa hayo mauaji tena sio ajari .r.i.p
 
Sioni faida ya leseni mpya kwamba zitapunguza ajali

BONGOLALA:
Walikuambia leseni mpya itapunguza ajali au ulikuwa usemi wa kuihalalisha hiyo leseni? Huu ni wizi mtupu, serekali ya wizi wizi lazima itafute njia tu ya kuwanyonya raia wake. Huu ni unyonyaji tu wa raia wake.
Hakuna kipindi ajali zimetokea ka kipindi hiki, sababu watakuambia ni maendeleo na wingi wa magari. Agrrrrr staki kuwaza itakuwaje after 3 years from now. Kwa mtindo huu wa kutafutiana vyeo kwa kujuana bila kujali ujuzi. Umewahi kujiuliza nini maana ya wiki ya nenda kwa usalama? Ina faida gani kama si kujikusanyia fedha za bure bure tu?
Mpaka Tanzania iweze kumpata kiongozi mwenye mapenzi na raia wake tutakuwa tumekwenda wengi kabla ya wakati wetu.
 
Poleni jamani lakini naamini kuna wenye magari wamepita hapo eneo wametoa msaada aidha wa usafiri au kupitisha ujumbe polisi
 
Pole kwa wote ambao kwa namna moja au nyingine ajili hii imewagusa.
Mungu ibariki Tanzania.
 
Kweli ww bongolala, to a pseudo kwanza maswali yatafuata baadae. Jaman wanna jf tuwasaidie hawa jamaa.
 
Back
Top Bottom