Ajali mbaya Ndanda masasi

Ajali mbaya Ndanda masasi

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Leo jioni gari aina ya Landcruiser mali ya hospitali ya wilaya ya mangaka mkoani mtwara likiwa linatoka dsm katika kikao cha budget limepasuka taili la mbele na kuanguka eneo la darajani karibu na hospitali ya Ndanda na watu 4 wamekufa hapahapo na dmo bado hali yake siyo mzuri.
 
Leo jioni gari aina ya Landcruiser mali ya hospitali ya wilaya ya mangaka mkoani mtwara likiwa linatoka dsm katika kikao cha budget limepasuka taili la mbele na kuanguka eneo la darajani karibu na hospitali ya Ndanda na watu 4 wamekufa hapahapo na dmo bado hali yake siyo mzuri.

Unaweza kunitajia majina ya marehemu?
 
Poleni sana familia za wahusika wote Mungu awape moyo wa uvumilivu
 
Unaweza kunitajia majina ya marehemu?

Itakuwa ngumu sana kwani nimepita pale nikakuta ajali na nilikuwa naenda lindi kikazi ila kulikuwa na watumishi wa idara mbali ikiwemo afya na kilimo.
 
Itakuwa ngumu sana kwani nimepita pale nikakuta ajali na nilikuwa naenda lindi kikazi ila kulikuwa na watumishi wa idara mbali ikiwemo afya na kilimo.

Mhh nina ndugu yangu idara mojawapo hapo
 
Jipe moyo inawezekana mungu kamponya
 
Kaka hapo umetudanganya wamefariki watu 2 ambaye ni dereva amaitwa Musa. Wa pili jina limenitika na alikuwemo DMO anaitwa Robert Lymo kavunjika mghu na hali yake sio nzuri. Mm nimeambiwa na brother angu anafanya nao kazi wako wote halmashauri ya nanyumbu
 
Kaka hapo umetudanganya wamefariki watu 2 na sio 4kama ulivyo ainisha hapo kwenye habari yako ambaye ni dereva amaitwa Musa. Wa pili jina limenitika na alikuwemo DMO anaitwa Robert Lymo kavunjika mghu na hali yake sio nzuri. Mm nimeambiwa na brother angu anafanya nao kazi wako wote halmashauri ya nanyumbu
 
imetokea ajali leo jion hapa ndanda Masas mkoan mtwara ya toyota land cruiser ya serikali STK fulan, hata picha sijataman kurushia maana ni hatari tupu, watu 2 wamepoteza maisha hapohapo. Maiti zilibanwa imebid gari ikatwe vipande vipande kuondoa miili. Mtu mmoja amebanwa masaa 3 akipatiwa huduma ya kwanza hapohapo. Nasikia ni maofisa wa wilaya ya Nanyumbu Masasi wakitokea semina. Yan mait zilibanwa dreva amekauka kimya amekufa, zoez la kuwatoa ni kwa mashine kuwachomoa ilishindikana. Halaf ni jiran kabisa na HOSPITAL ya NDANDA ni umbali wa mita 15 tu. Hongera kwa WAJERUMANI WA ABASIA YA NDANDA kwa juhud kubwa za kutoa miili ile. Wastarehe kwa Amani.
 
imetokea ajali leo jion hapa ndanda Masas mkoan mtwara ya toyota land cruiser ya serikali STK fulan, hata picha sijataman kurushia maana ni hatari tupu, watu 2 wamepoteza maisha hapohapo. Maiti zilibanwa imebid gari ikatwe vipande vipande kuondoa miili. Mtu mmoja amebanwa masaa 3 akipatiwa huduma ya kwanza hapohapo. Nasikia ni maofisa wa wilaya ya Nanyumbu Masasi wakitokea semina. Yan mait zilibanwa dreva amekauka kimya amekufa, zoez la kuwatoa ni kwa mashine kuwachomoa ilishindikana. Halaf ni jiran kabisa na HOSPITAL ya NDANDA ni umbali wa mita 15 tu. Hongera kwa WAJERUMANI WA ABASIA YA NDANDA kwa juhud kubwa za kutoa miili ile. Wastarehe kwa Amani.

under abate Dionis,
 
Aise mungu ni mkubwa sana na ni muweza wa yote ametoa na kutwaa!wapumzike kwa amani
 
Habari imenistua sana,
RIP marehemu wote na majeruhi wapone haraka
 
duuuuuh nimeuzunika sana mungu awalaze mahali pema peponi
 
Aisee poleni sana hiuo gari nilipishana nayo lindi jioni hiyo nakumbuka dereva wake ana mwili heavyweight flani kisha tall..dah mungu awape njia ya heri awasamehe makosa yao...ameen
 
imetokea ajali leo jion hapa ndanda Masas mkoan mtwara ya toyota land cruiser ya serikali STK fulan, hata picha sijataman kurushia maana ni hatari tupu, watu 2 wamepoteza maisha hapohapo. Maiti zilibanwa imebid gari ikatwe vipande vipande kuondoa miili. Mtu mmoja amebanwa masaa 3 akipatiwa huduma ya kwanza hapohapo. Nasikia ni maofisa wa wilaya ya Nanyumbu Masasi wakitokea semina. Yan mait zilibanwa dreva amekauka kimya amekufa, zoez la kuwatoa ni kwa mashine kuwachomoa ilishindikana. Halaf ni jiran kabisa na HOSPITAL ya NDANDA ni umbali wa mita 15 tu. Hongera kwa WAJERUMANI WA ABASIA YA NDANDA kwa juhud kubwa za kutoa miili ile. Wastarehe kwa Amani.

Naomba kujua majina ya Majeruhi na Waliofariki.

Kaka Yangu anafanya kazi wilaya ya Nanyumbu.
 
Kaka hapo umetudanganya wamefariki watu 2 ambaye ni dereva amaitwa Musa. Wa pili jina limenitika na alikuwemo DMO anaitwa Robert Lymo kavunjika mghu na hali yake sio nzuri. Mm nimeambiwa na brother angu anafanya nao kazi wako wote halmashauri ya nanyumbu

Kaka naomba kama umekumbuka hilo jina itakuwa vyema kama utalitaja hapa.

Nina kaka yangu ni HR anafanya kazi wilaya ya Nanyumba anafahamika kwa Surname ya Ndinda, Je alikuwepo? Naomba kujuzwa tafadhari.
 
Back
Top Bottom