penyapenya uko tujuze waliokufa na majeruhi wengine tupo kitengo cha takwim waliokufa kwa ajari kwa mwaka huuKuna ajali mbaya imetokea hapa Mbezi kwa msuguri ikihusisha Lori LA mchanga na Gari aina ya Toyota Spacio.
Gari. ndogo imeharibiwa vibaya sidhani kama kuna aliyesalimika.
Picha zinatisha sana siwezi kuzianika hapa.
Kikwete anamaliza muhula wake vibaya
Kuna ajali mbaya imetokea hapa Mbezi kwa msuguri ikihusisha Lori LA mchanga na Gari aina ya Toyota Spacio.
Gari. ndogo imeharibiwa vibaya sidhani kama kuna aliyesalimika.
Picha zinatisha sana siwezi kuzianika hapa.
huyu jamaa kazidisha kafara mnoo. Kafilis nchi haitosh sasa dam za watu. Tatizo letu wabongo kuwaweka wacheza ngoma pale.Kikwete anamaliza muhula wake vibaya
CCM inalimaliza hili Taifa..