mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
- Thread starter
- #21
Contena la PIL la bluu
Ulivyoandika utafikiri kila mtu yuko Kimara. Au kama hii habari inawahusu watu wa Kimara peke yao utuambie.Jamanu ajali mbaya imetokea mda si mrefu..haya magari ya makontena lipo nyanganyanga na likontena lipo down.jamani hata macontena ni hatari jamani..
Ni kweli dereva kafa,könda kapona,wako TumbiNaweka inakataa.naendelea kujaribu.watu wamekuwa wengi sana sana ktk tukio..mie nimepita ila I think kuna vifo maana kichwa cha hilo gari kimepondeka balaa
kimara kwa makontena kuua ni common sana kuna wkt liliponda ponda dala dala ikawa chapati
Mkuu funguka kidogo tukuelewe basi. Yaani inakuwa kama umekoswa koswa na hilo kontena.
Jamanu ajali mbaya imetokea mda si mrefu..haya magari ya makontena lipo nyanganyanga na likontena lipo down.jamani hata macontena ni hatari jamani..
Ni kweli dereva kafa,könda kapona,wako Tumbi